Nimeota mimi mwanajeshi vitani, ilivyofika kuanza operation msituni nikashtuka fasta usingizini

Nimeota mimi mwanajeshi vitani, ilivyofika kuanza operation msituni nikashtuka fasta usingizini

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Kifo kisikie tu ila Ikifika zamu ya kukabiliana nacho huwa ni kizaa zaa. Huwa nacheza ma game ya combat au frontlines heroes naona tu raha kuwaua maadui. Paah Paah napiga tu risasi kwenye simu sasa leo mapema alfajiri ikanijia ndoto kama unavyojua ndoto mwili unahisi kitu una ki perform live.

Tukaanza Kwanza kusafisha eneo tukiwa ndani ya kifaru tukiwa na wakuu wetu tukawakimbiza waasi nadhani ndoto location yake Ilikuwa huko mipakani karibu na Burundi. Sasa ikafika zamu ya kifaru hakiendelei wakubwa hawaendelei inabidi tuingie sisi msituni kwenda kupambana nao cha ajabu eti hatupewi bunduki silaha ni makwanja halafu hayajanolewa. Nashangaa wenzangu wako na vibe kabisa wanaimba nyimbo za ushujaa. Nilivyokabidhiwa tu kwanja langu na kuliona lilivyo butu ghafla nikashtuka fasta usingizini.

Mbona ndoto za kula Mihogo na chachandu na juice huwa sishtuki maana yake ni kwamba wanajeshi ni kazi ngumu Sana labda kuliko zote hasa ukipangiwa mission ambayo unaingia frontline kwenye battlefield hujui maadui zako wamejipanga vipi.

Kufa sio mchezo ndugu zangu mimi Kiukweli ningekuwa mwanajeshi ningesanda vitani ningetoroka kama wale wa Congo waliohukumiwa walivyokimbia vita. Mtu uone kabisa mmezidiwa nguvu eti ubaki kupambana. Hapana Kwa kweli mtanisamehe mimi hata kwa Iddi amini nisingejitolea kupigana ningekimbia nikakae maporini huko na wanyama nijifiche peke yangu siwezi kupigania ardhi mimi.
 
Sijakuelewa mkuu ila mi ni good Christian ndio na vita siiung mkono sio mpango wa Mungu ni mipango ya watawala
Usitafsiri kwa namna ya mwilini mkuu. Vita signifies opposition mtu anaweza encounter somewhere. YUMKINI kuna vita inakujia karibuni. Inaweza kuwa kiuchumi, kiafya, kazini, nyumbani, anything of that sort....mimi sio mtafsiri ila it maybe that. Chamsingi, kuwa tayari. Eph 6: 10-18, kamsalimie huyo jamaa hapo, atakupa maelekezo yote. Jumapili njema
 
Usitafsiri kwa namna ya mwilini mkuu. Vita signifies opposition mtu anaweza encounter somewhere. YUMKINI kuna vita inakujia karibuni. Inaweza kuwa kiuchumi, kiafya, kazini, nyumbani, anything of that sort....mimi sio mtafsiri ila it maybe that. Chamsingi, kuwa tayari. Eph 6: 10-18, kamsalimie huyo jamaa hapo, atakupa maelekezo yote. Jumapili njema
Hahaha vita mara ngapi inikute mkuu labda kiafya ila kiuchumi na kifamilia na kikazi Kitambo tu napambana nayo kinyama
 
Kifo kisikie tu ila Ikifika zamu ya kukabiliana nacho huwa ni kizaa zaa. Huwa nacheza ma game ya combat au frontlines heroes naona tu raha kuwaua maadui. Paah Paah napiga tu risasi kwenye simu sasa leo mapema alfajiri ikanijia ndoto kama unavyojua ndoto mwili unahisi kitu una ki perform live.

Tukaanza Kwanza kusafisha eneo tukiwa ndani ya kifaru tukiwa na wakuu wetu tukawakimbiza waasi nadhani ndoto location yake Ilikuwa huko mipakani karibu na Burundi. Sasa ikafika zamu ya kifaru hakiendelei wakubwa hawaendelei inabidi tuingie sisi msituni kwenda kupambana nao cha ajabu eti hatupewi bunduki silaha ni makwanja halafu hayajanolewa. Nashangaa wenzangu wako na vibe kabisa wanaimba nyimbo za ushujaa. Nilivyokabidhiwa tu kwanja langu na kuliona lilivyo butu ghafla nikashtuka fasta usingizini.

Mbona ndoto za kula Mihogo na chachandu na juice huwa sishtuki maana yake ni kwamba wanajeshi ni kazi ngumu Sana labda kuliko zote hasa ukipangiwa mission ambayo unaingia frontline kwenye battlefield hujui maadui zako wamejipanga vipi.

Kufa sio mchezo ndugu zangu mimi Kiukweli ningekuwa mwanajeshi ningesanda vitani ningetoroka kama wale wa Congo waliohukumiwa walivyokimbia vita. Mtu uone kabisa mmezidiwa nguvu eti ubaki kupambana. Hapana Kwa kweli mtanisamehe mimi hata kwa Iddi amini nisingejitolea kupigana ningekimbia nikakae maporini huko na wanyama nijifiche peke yangu siwezi kupigania ardhi mimi.
Wewe bdio sniper wa Trump labda
 
Kifo kisikie tu ila Ikifika zamu ya kukabiliana nacho huwa ni kizaa zaa. Huwa nacheza ma game ya combat au frontlines heroes naona tu raha kuwaua maadui. Paah Paah napiga tu risasi kwenye simu sasa leo mapema alfajiri ikanijia ndoto kama unavyojua ndoto mwili unahisi kitu una ki perform live.

Tukaanza Kwanza kusafisha eneo tukiwa ndani ya kifaru tukiwa na wakuu wetu tukawakimbiza waasi nadhani ndoto location yake Ilikuwa huko mipakani karibu na Burundi. Sasa ikafika zamu ya kifaru hakiendelei wakubwa hawaendelei inabidi tuingie sisi msituni kwenda kupambana nao cha ajabu eti hatupewi bunduki silaha ni makwanja halafu hayajanolewa. Nashangaa wenzangu wako na vibe kabisa wanaimba nyimbo za ushujaa. Nilivyokabidhiwa tu kwanja langu na kuliona lilivyo butu ghafla nikashtuka fasta usingizini.

Mbona ndoto za kula Mihogo na chachandu na juice huwa sishtuki maana yake ni kwamba wanajeshi ni kazi ngumu Sana labda kuliko zote hasa ukipangiwa mission ambayo unaingia frontline kwenye battlefield hujui maadui zako wamejipanga vipi.

Kufa sio mchezo ndugu zangu mimi Kiukweli ningekuwa mwanajeshi ningesanda vitani ningetoroka kama wale wa Congo waliohukumiwa walivyokimbia vita. Mtu uone kabisa mmezidiwa nguvu eti ubaki kupambana. Hapana Kwa kweli mtanisamehe mimi hata kwa Iddi amini nisingejitolea kupigana ningekimbia nikakae maporini huko na wanyama nijifiche peke yangu siwezi kupigania ardhi mimi.
Joga hili njooni mlizomee, hilooooo, hiloooooo.
 
Back
Top Bottom