Nimeota nafukuzwa na simba pamoja na mbwa wawili

Nimeota nafukuzwa na simba pamoja na mbwa wawili

Saoka

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2018
Posts
441
Reaction score
643
Habari wakuu,

Usiku nikiwa nimelala niliota nipo porini mwenyewe mara ghafla nikaona mbwa wawili wananikimbilia speed namimi nikaanza mbio kule mbele yupo Simba nae anakuja speed daah kwakweli niliishiwa pozi maana wote walikuwa wamenizunguka sasa hapo nikajikuta nimeshtuka na usingizi wote ukaishia hapo.

Wakuu mwenye kujua nini maana ya hii ndoto anisaidie tafsiri yake maana sio mara moja kuota ndoto za namna hii.
 
Habari wakuu,

Usiku nikiwa nimelala niliota nipo porini mwenyewe mara ghafla nikaona mbwa wawili wananikimbilia speed namimi nikaanza mbio kule mbele yupo Simba nae anakuja speed daah kwakweli niliishiwa pozi maana wote walikuwa wamenizunguka sasa hapo nikajikuta nimeshtuka na usingizi wote ukaishia hapo

Wakuu mwenye kujua nini maana ya hii ndoto anisaidie tafsiri yake maana sio mara moja kuota ndoto za namna hii
Utafumaniwa na mkeo na mume wa hawara yako, utawekwa mtukati.
 
Habari wakuu,

Usiku nikiwa nimelala niliota nipo porini mwenyewe mara ghafla nikaona mbwa wawili
Mbwa kwenye ulimwengu wa roho ina maana Roho ya uzinzi inakunyemelea ili ikumalize.
Na kuna mafanikio yako yapo mbele na ili uyapate inabidi uvuke ilo jaribu la uzinzi.
Na bila maombi mazito, huchomoki mazee.
 
Bora wewe mkuu,kuna mtu humu aliota anafukuzwa na mende[emoji24][emoji24].Tafsiri ya ndoto yako ni hivi,kuna wanafki wamekuzunguka wakati wewe ukidhani ni wana.
Sawa mkuu ngoja niwe makini
 
Habari wakuu,

Usiku nikiwa nimelala niliota nipo porini mwenyewe mara ghafla nikaona mbwa wawili wananikimbilia speed namimi nikaanza mbio kule mbele yupo Simba nae anakuja speed daah kwakweli niliishiwa pozi maana wote walikuwa wamenizunguka sasa hapo nikajikuta nimeshtuka na usingizi wote ukaishia hapo

Wakuu mwenye kujua nini maana ya hii ndoto anisaidie tafsiri yake maana sio mara moja kuota ndoto za namna hii
Pole mkuu
 
Tafsiri isiyo rasmi ni kuwa kuna changamoto unazozimudu ila unazikimbia Au kukwepa kuzitafutia suruhisho na kadri unavyozikwepa ndivyo unavyotengeneza changamoto ngumu zaidi.

Ulipomuona simba na nyuma kuna mbwa ungekuwa mtu wa imani hukohuko ndotoni ungekemea na wote wasinge kudhuru.

Ufikapo Mwisho wa uwezo wa kufikiri hapo hakuna kinachoweza kukuokoa zaidi ya Mungu.

Mwisho naweza kusema Jikabidhi kwa Mungu
 
Habari wakuu,

Usiku nikiwa nimelala niliota nipo porini mwenyewe mara ghafla nikaona mbwa wawili wananikimbilia speed namimi nikaanza mbio kule mbele yupo Simba nae anakuja speed daah kwakweli niliishiwa pozi maana wote walikuwa wamenizunguka sasa hapo nikajikuta nimeshtuka na usingizi wote ukaishia hapo.

Wakuu mwenye kujua nini maana ya hii ndoto anisaidie tafsiri yake maana sio mara moja kuota ndoto za namna hii.
Mbwa ni roho ya uzinzi, na Simba ni ulimwengu wa giza(ufalme wa shetani) hivyo Kuna uharibifu umepangwa katika maisha yako chukua hatua ya kukemea hiyo ndoto
 
Back
Top Bottom