Nimeota nafukuzwa na simba pamoja na mbwa wawili

Nimeota nafukuzwa na simba pamoja na mbwa wawili

Ungetulia tu ukaota mpk ukajua hatima yake umekatisha ndoto ujumbe ilikuwa bado lala tena mpk uone hatima yake ndo tutafsiri sasa.
 
Uliyelala naye alikuwa anakoroma ndo maana ukaota sauti ya mbwa na simba. Mpeleke kwenye mazoezi njia ya hewa iwe safi.
 
Habari wakuu,

Usiku nikiwa nimelala niliota nipo porini mwenyewe mara ghafla nikaona mbwa wawili wananikimbilia speed namimi nikaanza mbio kule mbele yupo Simba nae anakuja speed daah kwakweli niliishiwa pozi maana wote walikuwa wamenizunguka sasa hapo nikajikuta nimeshtuka na usingizi wote ukaishia hapo.

Wakuu mwenye kujua nini maana ya hii ndoto anisaidie tafsiri yake maana sio mara moja kuota ndoto za namna hii.
Mwisho ulishtuka, haukuliwa na Simba, ina maana utapitia changamoto kubwa, ili ukipambana mwisho wa siku utashinda.
 
Mbwa ni roho ya uzinzi, na Simba ni ulimwengu wa giza(ufalme wa shetani) hivyo Kuna uharibifu umepangwa katika maisha yako chukua hatua ya kukemea hiyo ndoto
Kumbe eeh?hizi ndoto za simba naota mara nyingi nyingi sana..sikujua kama tafsiri yake ni ulimwengu wa giza
 
Kuna ndugu yangu ndoto hiyo ya kufukuzwa na simba ilimtesa sana alikua nalia usiku ukimuuliza naota simba wananifukuza,baaada yahapo akaota amekufa hakumaliza hata miaka miwili akafa. Kwahyo kama kanisani nenda
 
Punguza matumizi ya ugali hasa dona nyakati za usiku....kabla ya kulala muombe Mungu..
 
Kuna ndugu yangu ndoto hiyo ya kufukuzwa na simba ilimtesa sana alikua nalia usiku ukimuuliza naota simba wananifukuza,baaada yahapo akaota amekufa hakumaliza hata miaka miwili akafa. Kwahyo kama kanisani nenda
Wachawi wameshamuuq
 
Back
Top Bottom