Nimeota naongea na yesu. Amenipa mikakati yake

Nimeota naongea na yesu. Amenipa mikakati yake

56AA9320-DB20-4674-B887-C9273866A859.jpeg

Sema tu ukweli umemuota huyo Mzee unamsingizia Yesu
 
Achana na visungura homeboy.Leo umeanzisha mada mia kidogo zote utata mtupu
 
Uza kila kitu ulichonacho utoroke hiyo sehemu unayoishi.Karibia utaanza kuokota makopo na kwenda kuyauza.
NB;Alisema hata yeye haijui hiyo siku ya mwisho ingawa alisisitiza mkeshe na kuomba huku taa zenu zikiwa na mafuta ya kutosha kumpokea bwana harusi.
Mtoa mada atakuwa anatania tu.. sidhani kama yupo serious
na kama yupo serious ndugu zake wampeleke hospital haraka sana!
 
Back
Top Bottom