Nimeota ndoto nafanya mapenzi

Nimeota ndoto nafanya mapenzi

Amna cha jini mahaba wala nini hiyo ni ndoto nyevu hapo kibuyu kimejaa nenda uka kipunguze mkuu.
 
Mle tuu mke wa rafiki yako acha kujizungusha na stori,,,,tamaa imeshakujaa kijana wa hovyoo,, acha kusingizia ndoto!!!
 
Wakuu hongereni washindi.

Usiku wa kuamkia leo nimeota ndoto nafanya mapenzi na shemeji yangu mke wa rafiki yangu.

Wakati wa maandalizi ile namvua chupi ulimwagika ute wa kutosha kama maji sijajua ilikuwa ina maana gani.
Huyo shemeji yangu nina muda mrefu sana sijawaliana naye wala kuonana naye tupo mikoa tofauti.

Ingawa kuna kipindi fulani nilifikia kwa huyo rafiki yangu kikazi huyo shemeji yangu alinizoea hata wakizinguana na mumewe basi angalau mimi nilikuwa nikimtia moyo asijali.

Sikuwahi kuwa na mawazo ya kumla japo mi sjui kwa upande wake yeye sasa.

Je, wajuba hii ndoto ina maana gani?
Dalili ya wew kufumuliwa Linda [emoji23][emoji23][emoji23] epuka uyoo mke ya mtu.
 
Kataa ndoto za ajabu, unataka tukwambie ukatembee kweli na mke wa rafiki yako? Ndoto haina maana yoyote ile usi entertain
 
Back
Top Bottom