Nimeota ndoto nakabwa na Mshana jr

Nimeota ndoto nakabwa na Mshana jr

unabidi ufanye juu chini uweze kuonana naye upate kujua ukweli kutoka kwake au ulikuwa unamdiskac sana mda wa mchana ndiomaana akakujia kwenye ndoto ucku
 
We jamaa weka picha tuone kama Kuna alama za mikono ili fingerprint ni za mshana
 
Wakuu poleni na majukuu leo mwenzenu nimeota nakabwa shingo mpaka kupoteza na pumzi usiku wa manane lakini wakati nakabwa niliona ndotoni sura kama Mshana jr akiwa na miwani yake ile ya tinted rangi nyeusi ndugu zangu hii ndoto ina maana gani nafikiria kuwatafuta cc mtu mzito na jichawi wanipe msaada tafadhali.
Nimeshtuka, nimeona kama unabakwa
 
nilikuwa msomaji tu kwa miaka mi3 ila ikabdi nijiunge kabisa ili niujue vizuri huo ushrikina wakutoka nje ya mwili heshma kwako bro maana umekuwa chachu yakuipenda jf
 
nilikuwa msomaji tu kwa miaka
mi3 ila ikabdi nijiunge kabisa ili
niujue vizuri huo ushrikina
wakutoka nje ya mwili heshma
kwako bro maana umekuwa
chachu yakuipenda jf
 
nilikuwa msomaji tu kwa miaka mi3 ila ikabdi nijiunge kabisa ili niujue vizuri huo ushrikina wakutoka nje ya mwili heshma kwako bro maana umekuwa chachu yakuipenda jf
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji125] [emoji23]
 
Back
Top Bottom