Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,912
hahahahahahahah nimecheka kwa sauti balaaUnajichekesha nini wacha uchawi
[emoji15] [emoji15] [emoji15] wee umejuaje?sa ulidhani utaota ndoto gani kama unamfatilia mtu ambaye post zake zina vinasaba vya ushirikina na bado kunasiku utakuja kutuambia ame...
Hahaha katika ubora wakohivi unajua kwamba mshana jr hana mikono !!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]We jamaa weka picha tuone kama Kuna alama za mikono ili fingerprint ni za mshana
Nimeshtuka, nimeona kama unabakwaWakuu poleni na majukuu leo mwenzenu nimeota nakabwa shingo mpaka kupoteza na pumzi usiku wa manane lakini wakati nakabwa niliona ndotoni sura kama Mshana jr akiwa na miwani yake ile ya tinted rangi nyeusi ndugu zangu hii ndoto ina maana gani nafikiria kuwatafuta cc mtu mzito na jichawi wanipe msaada tafadhali.
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji125] [emoji23]nilikuwa msomaji tu kwa miaka mi3 ila ikabdi nijiunge kabisa ili niujue vizuri huo ushrikina wakutoka nje ya mwili heshma kwako bro maana umekuwa chachu yakuipenda jf
ni kama kibwagizo cha wimbo wa naniii usije nawewe ukawa miongoni waliodhani kabakwaadusheleeleleeee dusheleeeleee
dusheleeleleeee dusheleeeleee
ni kama kibwagizo cha wimbo wa naniii usije nawewe ukawa miongoni waliodhani kabakwaa
Hahahahahahahahaaahahaha kumbe miwani yake ni moja ya uniform zake awapo kazini
watu wazima utawajua tu kwa coment zao kama shairi vileKweli, masikini hana njozi njema hata siku moja.
Mshana _ usiku na miwani mieusi !!!???
Safari za masikini nyingi ni za hasara.