Choosen85
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 1,143
- 2,475
Wakuu heri, nimeota ndoto npo na mzee anayefanana na marehemu mengi, nikawa namueleza changamoto zng za kutafuta ajira, akanpeleka kwenye ofisi moja akanambia nitafanya kazi hapo. Wakati tunarudi akawa ananipa pesa za noti elfu tano tano kwa kuzdondosha chini mi naokota, niliokota mpaka likawa burungutu la kushika kwa mikono miwili. Je ni nini tafsiri ya ndoto hii!