Nimeota ndoto Simba anatolewa na Namungo kombe la Mapinduzi

handsome boy wa jf

Senior Member
Joined
Jan 2, 2022
Posts
163
Reaction score
350
Wakuu aisee kuna kandoto nimekaota jana kuwa leo Simba inatolewa na Namungo kombe la mapinduzi wanafungwa goli mbili, moja goli la ushindi la Namungo linafungwa na Kichuya na mimi nikioneshwaga kitu huwaga kinatokea kweli aisee, wakuu leo msishangae mkiona simba katolewa leo.
 

Namungo yako ishatiwa 2 huko…akili zako za kiutopolo bado zinakuaminisha namungo itafunga goli mbili?
Utelembwe fc pole sana bhana, maana mmepigwa na kitu kizito hadi mmepoteana!!
Kichuya wako out ulimi nje…!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…