GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
- Thread starter
-
- #21
Kuna ndoto kadhaa, nzuri na "mbaya" nilishawahi kuota na zikatimia. Lakini pia kuna nyingi nilishaziota nikaishia kuzipuuzia, kwamba zilikuwa ni ndoto tu na hazikuwa na madhara yoyote. Lakini ya leo imekaa kwa namna ambayo "ninashindwa" kuipuuzia.Kuna watu huwa wanaota ndoto zinakuwa kweli. Na ww ni mmojawapo?
Weka hili akilini jomba.....Hizi ndoto huwa hazisemwi hadharani mdogo wangu.
Soma ASTRAL PROJECTIONNi ya ajabu kwangu! Sijawahi kuiota ndoto ya aina hii!!!
Nimeota nimetoka nje ya mwili wangu na kupaaa hadi eneo ambalo sikuwahi kufika, na hata sasa sipafahamu kama eneo hilo lipo au ni eneo la kufikirika tu. Lakini kama papo, nikipaona nitapakumbuka. Nilikariri baadhi ya maeneo, mfano, mti mkubwa, mto, na shamba kubwa lililopo kando ya mto.
Mwendo ulikuwa wa pole pole, na nilikuwa nikijaribu kukariri maeneo ili kama nikitaka kwenda nikiwa kwenye mwili niweze kupakumbuka. Nilikuwa najua kuwa sikuwa kwenye mwili.
Nilipoanza safari ya kwenda huko nililokuwa nikienda, sikuwa najua nitakakoishia, wala sikujua lengo. Nilihisi kuwa labda ninaenda kuoneshwa eneo lenye madini kwa sababu kabla ya kulala, nilikuwa nikisoma makala mbalimbali za madini na vito vya thamani. Nilikuwa pia na shauku ya kuona mwisho wa hiyo safari. Nilikuwa nikiifurahia.
Maeneo niliyoenda ni ya vijijini. Nyumba zilikuwa chache, na ni za kivijijini (zimejengwa kwa tope zikaezekwa kwa bati), na zilikuwa mbalimbali sana.
Nilipofika penye shamba lililokuwa linaenda mpaka mtoni, nililitazama kwa muda kama vile nilikuwa nalikagua, kisha nikasema, "God, do you want me to buy this land? Thank You". Kwa Kiswahili, (Mungu, unataka nilinunue hili shamba? Asante).
Nikiwa hapo mtoni, nilianza kuhofia kuwa nisije nikashindwa kurejea kwenye mwili wangu. Papo hapo niligeuza na kuanza kurudi hadi hatimaye nikajua kuwa sasa nimesharejea kwenye mwili wangu, na nikajitahidi kuamka.
Kwenye kuamka ilikuwa kama vile mtu aliyekamatwa na "jinamizi", lakini niliishinda hiyo hali na hatimaye nikaamka.
Nimejaribu kuitafakari hiyo ndoto lakini mpaka sasa sijapata mwanga!
Kuna anayeweza kusema "kitu"?
Asante!
ulivuta skanka ilochanganywa na ugoro!Ni ya ajabu kwangu! Sijawahi kuiota ndoto ya aina hii!!!
Nimeota nimetoka nje ya mwili wangu na kupaaa hadi eneo ambalo sikuwahi kufika, na hata sasa sipafahamu kama eneo hilo lipo au ni eneo la kufikirika tu. Lakini kama papo, nikipaona nitapakumbuka. Nilikariri baadhi ya maeneo, mfano, mti mkubwa, mto, na shamba kubwa lililopo kando ya mto.
Mwendo ulikuwa wa pole pole, na nilikuwa nikijaribu kukariri maeneo ili kama nikitaka kwenda nikiwa kwenye mwili niweze kupakumbuka. Nilikuwa najua kuwa sikuwa kwenye mwili.
Nilipoanza safari ya kwenda huko nililokuwa nikienda, sikuwa najua nitakakoishia, wala sikujua lengo. Nilihisi kuwa labda ninaenda kuoneshwa eneo lenye madini kwa sababu kabla ya kulala, nilikuwa nikisoma makala mbalimbali za madini na vito vya thamani. Nilikuwa pia na shauku ya kuona mwisho wa hiyo safari. Nilikuwa nikiifurahia.
Maeneo niliyoenda ni ya vijijini. Nyumba zilikuwa chache, na ni za kivijijini (zimejengwa kwa tope zikaezekwa kwa bati), na zilikuwa mbalimbali sana.
Nilipofika penye shamba lililokuwa linaenda mpaka mtoni, nililitazama kwa muda kama vile nilikuwa nalikagua, kisha nikasema, "God, do you want me to buy this land? Thank You". Kwa Kiswahili, (Mungu, unataka nilinunue hili shamba? Asante).
Nikiwa hapo mtoni, nilianza kuhofia kuwa nisije nikashindwa kurejea kwenye mwili wangu. Papo hapo niligeuza na kuanza kurudi hadi hatimaye nikajua kuwa sasa nimesharejea kwenye mwili wangu, na nikajitahidi kuamka.
Kwenye kuamka ilikuwa kama vile mtu aliyekamatwa na "jinamizi", lakini niliishinda hiyo hali na hatimaye nikaamka.
Nimejaribu kuitafakari hiyo ndoto lakini mpaka sasa sijapata mwanga!
Kuna anayeweza kusema "kitu"?
Asante!
wanga na wachawi wanataka kukutumia vibaya ikiwa ni pamoja na kuwa msukule..Ni ya ajabu kwangu! Sijawahi kuiota ndoto ya aina hii!!!
Nimeota nimetoka nje ya mwili wangu na kupaaa hadi eneo ambalo sikuwahi kufika, na hata sasa sipafahamu kama eneo hilo lipo au ni eneo la kufikirika tu. Lakini kama papo, nikipaona nitapakumbuka. Nilikariri baadhi ya maeneo, mfano, mti mkubwa, mto, na shamba kubwa lililopo kando ya mto.
Mwendo ulikuwa wa pole pole, na nilikuwa nikijaribu kukariri maeneo ili kama nikitaka kwenda nikiwa kwenye mwili niweze kupakumbuka. Nilikuwa najua kuwa sikuwa kwenye mwili.
Nilipoanza safari ya kwenda huko nililokuwa nikienda, sikuwa najua nitakakoishia, wala sikujua lengo. Nilihisi kuwa labda ninaenda kuoneshwa eneo lenye madini kwa sababu kabla ya kulala, nilikuwa nikisoma makala mbalimbali za madini na vito vya thamani. Nilikuwa pia na shauku ya kuona mwisho wa hiyo safari. Nilikuwa nikiifurahia.
Maeneo niliyoenda ni ya vijijini. Nyumba zilikuwa chache, na ni za kivijijini (zimejengwa kwa tope zikaezekwa kwa bati), na zilikuwa mbalimbali sana.
Nilipofika penye shamba lililokuwa linaenda mpaka mtoni, nililitazama kwa muda kama vile nilikuwa nalikagua, kisha nikasema, "God, do you want me to buy this land? Thank You". Kwa Kiswahili, (Mungu, unataka nilinunue hili shamba? Asante).
Nikiwa hapo mtoni, nilianza kuhofia kuwa nisije nikashindwa kurejea kwenye mwili wangu. Papo hapo niligeuza na kuanza kurudi hadi hatimaye nikajua kuwa sasa nimesharejea kwenye mwili wangu, na nikajitahidi kuamka.
Kwenye kuamka ilikuwa kama vile mtu aliyekamatwa na "jinamizi", lakini niliishinda hiyo hali na hatimaye nikaamka.
Nimejaribu kuitafakari hiyo ndoto lakini mpaka sasa sijapata mwanga!
Kuna anayeweza kusema "kitu"?
Asante!
Astra projection siyo kwamba mtu anakusudia kufanya hivyo?Hiyo ni relity mkuu nenda google andika "Astra Projection"
Kuna ndoto nilishawahi kuiota na ikawa vivyo hivyo!Iyo ni ndoto piga chini fanya mambo mengne imani ni kitu kibaya sana achana na imani
Sijawai ona mtu kaota ndoto jana kaokota dhahabu ya kg10 na kwel kesho yake akakiokota au akaenda kwa wasoma nyota wakamwonesha jinsi ya kuipata dhahabu aloiota jana usku
Labda!Uliota mawazo yako, maana ulilala unawaza dhahabu kwa hiyo uliposinzia akili yako iliendelea kufanya kazi ndio ukawa unahisi unaota.
Usiku wa kuamkia leo nimeota zaidi ya ndoto moja, lakini ni hii moja tu ndiyo nimeiona ya kipekee. Na siku zingine pia huwa ninaota, lakini mara nyingi nilizipuuzia kwa kuwa zilikuwa "ndoto" tu!Ukifatilia kila ndoto hutakaa kwa amani
Sifuatilii kila ndoto mkuu!Ukifatilia kila ndoto hutakaa kwa amani
Lakini pia wakati mwingine kuna "vitu" vidogo watu wanaweza kuvipuuizia kumbe vingeweza kuwa na msaada mkubwa sana kwao kama wangejua yawapasayo!Sure mkuu,kuna vitu vingine tunavipa attention ambavyo havina impact yoyote.
๐๐๐Ningerudi kulala nione part 2 ya ndoto๐.
1. Shamba lilinivutia nikawa natamani lingekuwa kubwa zaidi, kama ekari hamsini ili nifanye kilimo cha umwagiliaji. Hilo nililoliona lilikuwa na ukubwa kama ekari tano hivi.Nivitu gani ulikuwa ukitafakari wakati ukilikagua shamba? Labda kufanya kitu fulani hapo n.k
Ni vitu gani ulikuwa ukitafakari kuhusu hilo shamba wakati ukirejea kutoka huko shambani?
Je safari Yako ilikuwa ndefu kufika huko shambani? Kulikuwa na vikwazo vyoyote njiani?
Ulitua shambani kwa matakwa Yako au Kuna nguvu ilikulazimisha kutua hapo??
Kwenye shamba hilo au maeneo ya jirani kulikuwa na shughuli yoyote ya kibiashara ilikuwa ikiendelea? Labda kilimo n.k
Umewahi kutafakari jambo lolote na likatokea?
Mkuu, sijakuelewa lakini nashukuru kwa mchango wako!ulivuta skanka ilochanganywa na ugoro!
Tafakari hilo swali lako ulilomuuliza Mungu. Labda ni wakati sahihi wewe kuweka uwekezaji kwenye hiyo sekta ya madini. Angalia vigezo vyako kama vimetimia, fanya utafiti inawezekana unaonyeshwa njia.Ni ya ajabu kwangu! Sijawahi kuiota ndoto ya aina hii!!!
Nimeota nimetoka nje ya mwili wangu na kupaaa hadi eneo ambalo sikuwahi kufika, na hata sasa sipafahamu kama eneo hilo lipo au ni eneo la kufikirika tu. Lakini kama papo, nikipaona nitapakumbuka. Nilikariri baadhi ya maeneo, mfano, mti mkubwa, mto, na shamba lililopo kando ya mto.
Mwendo ulikuwa wa pole pole, na nilikuwa nikijaribu kukariri maeneo ili kama nikitaka kwenda nikiwa kwenye mwili niweze kupakumbuka. Nilikuwa najua kuwa sikuwa kwenye mwili.
Nilipoanza safari ya kwenda huko nilikokuwa nikienda, sikuwa najua nitakakoishia, wala sikujua lengo. Nilihisi kuwa labda ninaenda kuoneshwa eneo lenye madini kwa sababu kabla ya kulala, nilikuwa nikisoma makala mbalimbali za madini na vito vya thamani. Nilikuwa pia na shauku ya kuona mwisho wa hiyo safari. Nilikuwa nikiifurahia.
Maeneo niliyoenda ni ya vijijini. Nyumba zilikuwa chache, na ni za kivijijini (zimejengwa kwa tope zikaezekwa kwa bati), na zilikuwa mbalimbali sana.
Nilipofika penye shamba lililokuwa linaenda mpaka mtoni, nililitazama kwa muda kama vile nilikuwa nalikagua, kisha nikasema, "God, do you want me to buy this piece of land? Thank You". Kwa Kiswahili, (Mungu, unataka nilinunue hili shamba? Asante).
Nikiwa hapo mtoni, nilianza kuhofia kuwa nisije nikashindwa kurejea kwenye mwili wangu. Papo hapo niligeuza na kuanza kurudi hadi hatimaye nikajua kuwa sasa nimesharejea kwenye mwili wangu, na nikajitahidi kuamka.
Kwenye kuamka ilikuwa kama vile mtu aliyekamatwa na "jinamizi", lakini niliishinda hiyo hali na hatimaye nikaamka.
Nimejaribu kuitafakari hiyo ndoto lakini mpaka sasa sijapata mwanga!
Kuna anayeweza kusema "kitu"?
Ni kweli mkuu! Nina interest kubwa sana kwenye hiyo sekta.Tafakari hilo swali lako ulilomuuliza Mungu. Labda ni wakati sahihi wewe kuweka uwekezaji kwenye hiyo sekta ya madini. Angalia vigezo vyako kama vimetimia, fanya utafiti inawezekana unaonyeshwa njia.
Inaonekana una interest kubwa kwenye hiyo sekta sababu hata jina lako linaonyesha hivyo.