Nimeota ndoto ya ajabu!

Nimeota ndoto ya ajabu!

Kuna watu huwa wanaota ndoto zinakuwa kweli. Na ww ni mmojawapo?
Kuna ndoto kadhaa, nzuri na "mbaya" nilishawahi kuota na zikatimia. Lakini pia kuna nyingi nilishaziota nikaishia kuzipuuzia, kwamba zilikuwa ni ndoto tu na hazikuwa na madhara yoyote. Lakini ya leo imekaa kwa namna ambayo "ninashindwa" kuipuuzia.
 
Nivitu gani ulikuwa ukitafakari wakati ukilikagua shamba? Labda kufanya kitu fulani hapo n.k

Ni vitu gani ulikuwa ukitafakari kuhusu hilo shamba wakati ukirejea kutoka huko shambani?

Je safari Yako ilikuwa ndefu kufika huko shambani? Kulikuwa na vikwazo vyoyote njiani?

Ulitua shambani kwa matakwa Yako au Kuna nguvu ilikulazimisha kutua hapo??

Kwenye shamba hilo au maeneo ya jirani kulikuwa na shughuli yoyote ya kibiashara ilikuwa ikiendelea? Labda kilimo n.k

Umewahi kutafakari jambo lolote na likatokea?
 
Ni ya ajabu kwangu! Sijawahi kuiota ndoto ya aina hii!!!

Nimeota nimetoka nje ya mwili wangu na kupaaa hadi eneo ambalo sikuwahi kufika, na hata sasa sipafahamu kama eneo hilo lipo au ni eneo la kufikirika tu. Lakini kama papo, nikipaona nitapakumbuka. Nilikariri baadhi ya maeneo, mfano, mti mkubwa, mto, na shamba kubwa lililopo kando ya mto.

Mwendo ulikuwa wa pole pole, na nilikuwa nikijaribu kukariri maeneo ili kama nikitaka kwenda nikiwa kwenye mwili niweze kupakumbuka. Nilikuwa najua kuwa sikuwa kwenye mwili.

Nilipoanza safari ya kwenda huko nililokuwa nikienda, sikuwa najua nitakakoishia, wala sikujua lengo. Nilihisi kuwa labda ninaenda kuoneshwa eneo lenye madini kwa sababu kabla ya kulala, nilikuwa nikisoma makala mbalimbali za madini na vito vya thamani. Nilikuwa pia na shauku ya kuona mwisho wa hiyo safari. Nilikuwa nikiifurahia.

Maeneo niliyoenda ni ya vijijini. Nyumba zilikuwa chache, na ni za kivijijini (zimejengwa kwa tope zikaezekwa kwa bati), na zilikuwa mbalimbali sana.

Nilipofika penye shamba lililokuwa linaenda mpaka mtoni, nililitazama kwa muda kama vile nilikuwa nalikagua, kisha nikasema, "God, do you want me to buy this land? Thank You". Kwa Kiswahili, (Mungu, unataka nilinunue hili shamba? Asante).

Nikiwa hapo mtoni, nilianza kuhofia kuwa nisije nikashindwa kurejea kwenye mwili wangu. Papo hapo niligeuza na kuanza kurudi hadi hatimaye nikajua kuwa sasa nimesharejea kwenye mwili wangu, na nikajitahidi kuamka.

Kwenye kuamka ilikuwa kama vile mtu aliyekamatwa na "jinamizi", lakini niliishinda hiyo hali na hatimaye nikaamka.

Nimejaribu kuitafakari hiyo ndoto lakini mpaka sasa sijapata mwanga!

Kuna anayeweza kusema "kitu"?

Asante!
Soma ASTRAL PROJECTION
 
Ni ya ajabu kwangu! Sijawahi kuiota ndoto ya aina hii!!!

Nimeota nimetoka nje ya mwili wangu na kupaaa hadi eneo ambalo sikuwahi kufika, na hata sasa sipafahamu kama eneo hilo lipo au ni eneo la kufikirika tu. Lakini kama papo, nikipaona nitapakumbuka. Nilikariri baadhi ya maeneo, mfano, mti mkubwa, mto, na shamba kubwa lililopo kando ya mto.

Mwendo ulikuwa wa pole pole, na nilikuwa nikijaribu kukariri maeneo ili kama nikitaka kwenda nikiwa kwenye mwili niweze kupakumbuka. Nilikuwa najua kuwa sikuwa kwenye mwili.

Nilipoanza safari ya kwenda huko nililokuwa nikienda, sikuwa najua nitakakoishia, wala sikujua lengo. Nilihisi kuwa labda ninaenda kuoneshwa eneo lenye madini kwa sababu kabla ya kulala, nilikuwa nikisoma makala mbalimbali za madini na vito vya thamani. Nilikuwa pia na shauku ya kuona mwisho wa hiyo safari. Nilikuwa nikiifurahia.

Maeneo niliyoenda ni ya vijijini. Nyumba zilikuwa chache, na ni za kivijijini (zimejengwa kwa tope zikaezekwa kwa bati), na zilikuwa mbalimbali sana.

Nilipofika penye shamba lililokuwa linaenda mpaka mtoni, nililitazama kwa muda kama vile nilikuwa nalikagua, kisha nikasema, "God, do you want me to buy this land? Thank You". Kwa Kiswahili, (Mungu, unataka nilinunue hili shamba? Asante).

Nikiwa hapo mtoni, nilianza kuhofia kuwa nisije nikashindwa kurejea kwenye mwili wangu. Papo hapo niligeuza na kuanza kurudi hadi hatimaye nikajua kuwa sasa nimesharejea kwenye mwili wangu, na nikajitahidi kuamka.

Kwenye kuamka ilikuwa kama vile mtu aliyekamatwa na "jinamizi", lakini niliishinda hiyo hali na hatimaye nikaamka.

Nimejaribu kuitafakari hiyo ndoto lakini mpaka sasa sijapata mwanga!

Kuna anayeweza kusema "kitu"?

Asante!
ulivuta skanka ilochanganywa na ugoro!
 
Ni ya ajabu kwangu! Sijawahi kuiota ndoto ya aina hii!!!

Nimeota nimetoka nje ya mwili wangu na kupaaa hadi eneo ambalo sikuwahi kufika, na hata sasa sipafahamu kama eneo hilo lipo au ni eneo la kufikirika tu. Lakini kama papo, nikipaona nitapakumbuka. Nilikariri baadhi ya maeneo, mfano, mti mkubwa, mto, na shamba kubwa lililopo kando ya mto.

Mwendo ulikuwa wa pole pole, na nilikuwa nikijaribu kukariri maeneo ili kama nikitaka kwenda nikiwa kwenye mwili niweze kupakumbuka. Nilikuwa najua kuwa sikuwa kwenye mwili.

Nilipoanza safari ya kwenda huko nililokuwa nikienda, sikuwa najua nitakakoishia, wala sikujua lengo. Nilihisi kuwa labda ninaenda kuoneshwa eneo lenye madini kwa sababu kabla ya kulala, nilikuwa nikisoma makala mbalimbali za madini na vito vya thamani. Nilikuwa pia na shauku ya kuona mwisho wa hiyo safari. Nilikuwa nikiifurahia.

Maeneo niliyoenda ni ya vijijini. Nyumba zilikuwa chache, na ni za kivijijini (zimejengwa kwa tope zikaezekwa kwa bati), na zilikuwa mbalimbali sana.

Nilipofika penye shamba lililokuwa linaenda mpaka mtoni, nililitazama kwa muda kama vile nilikuwa nalikagua, kisha nikasema, "God, do you want me to buy this land? Thank You". Kwa Kiswahili, (Mungu, unataka nilinunue hili shamba? Asante).

Nikiwa hapo mtoni, nilianza kuhofia kuwa nisije nikashindwa kurejea kwenye mwili wangu. Papo hapo niligeuza na kuanza kurudi hadi hatimaye nikajua kuwa sasa nimesharejea kwenye mwili wangu, na nikajitahidi kuamka.

Kwenye kuamka ilikuwa kama vile mtu aliyekamatwa na "jinamizi", lakini niliishinda hiyo hali na hatimaye nikaamka.

Nimejaribu kuitafakari hiyo ndoto lakini mpaka sasa sijapata mwanga!

Kuna anayeweza kusema "kitu"?

Asante!
wanga na wachawi wanataka kukutumia vibaya ikiwa ni pamoja na kuwa msukule..

Omba na kukemea kwa bidii sana hiyo roho ya kichawi na kishirikina inayokuzengea.

watesi wako ni watu wanaokufahamu kabisa, wanataka kukupora nyota na ndoto ya mafanikio yako inayong'aa sana, wanataka kusambaratisha na kutokomeza uwezo wako, wa familia na ukoo wako katika nyanja zote.

That's alert for you to be careful, kuna jaribu kubwa linakujia na linaweza kua kama lile la Yesu alipopelekwa juu ya kilele cha mlima na Ibilisi, na kisha akaambiwa ajirushe, ikiwa kweli wewe ni mwana wa Mungu 🐒
 
Kula vyakula laini usiku

Oga kabla ya kulala

Sali kabla ya kulala

Lala sehemu nzuri Safi na yenye hewa ya kutosha

Usishibe Sana usiku

Usiangalie movie usiku kabla ya kulala

Usilale na simu kitandani weka charge sebureni

Ukizingatia hayo hautaota ndoto na kuzikumbuka
 
Iyo ni ndoto piga chini fanya mambo mengne imani ni kitu kibaya sana achana na imani

Sijawai ona mtu kaota ndoto jana kaokota dhahabu ya kg10 na kwel kesho yake akakiokota au akaenda kwa wasoma nyota wakamwonesha jinsi ya kuipata dhahabu aloiota jana usku
Kuna ndoto nilishawahi kuiota na ikawa vivyo hivyo!
 
Ukifatilia kila ndoto hutakaa kwa amani
Usiku wa kuamkia leo nimeota zaidi ya ndoto moja, lakini ni hii moja tu ndiyo nimeiona ya kipekee. Na siku zingine pia huwa ninaota, lakini mara nyingi nilizipuuzia kwa kuwa zilikuwa "ndoto" tu!
 
Sure mkuu,kuna vitu vingine tunavipa attention ambavyo havina impact yoyote.
Lakini pia wakati mwingine kuna "vitu" vidogo watu wanaweza kuvipuuizia kumbe vingeweza kuwa na msaada mkubwa sana kwao kama wangejua yawapasayo!
 
Nivitu gani ulikuwa ukitafakari wakati ukilikagua shamba? Labda kufanya kitu fulani hapo n.k

Ni vitu gani ulikuwa ukitafakari kuhusu hilo shamba wakati ukirejea kutoka huko shambani?

Je safari Yako ilikuwa ndefu kufika huko shambani? Kulikuwa na vikwazo vyoyote njiani?

Ulitua shambani kwa matakwa Yako au Kuna nguvu ilikulazimisha kutua hapo??

Kwenye shamba hilo au maeneo ya jirani kulikuwa na shughuli yoyote ya kibiashara ilikuwa ikiendelea? Labda kilimo n.k

Umewahi kutafakari jambo lolote na likatokea?
1. Shamba lilinivutia nikawa natamani lingekuwa kubwa zaidi, kama ekari hamsini ili nifanye kilimo cha umwagiliaji. Hilo nililoliona lilikuwa na ukubwa kama ekari tano hivi.

2. Nilikuwa nikiwaza kwamba kama Mungu atapenda, nitalinunua hilo shamba. Pia nilikuwa najiuliza kwa nini sikuchunguza kando kando ya mto, labda ningeyagundua madini yaliyopo kwenye huo mto

3. Safari ilikuwa ndefu kwa kiasi fulani. Hakukuweko na kikwazo chochote. Kuna mahali nilikuta mti una matawi yaliyokaribiana na kuacha katikati yake upenyo mdogo ambao siyo rahisi mtu kuweza kupenya, lakini mimi nilipeya bila kuugusa na nikajua ni kwa sababu sikuwa kwenye mwili ndiyo maana sikushindwa kupita kwenye huo upenyo mdogo.

4. Sikujua kilichokuwa kinanifanya nielee hewani. Sikujua chini, hilo shamba nililiangalia nikiwa hewani. Inawezekana ningeweza kuendelea mbele zaidi lakini niliamua kurudi kwa kuhofia kuwa niliendelea kwenda mbele zaidi naweza nikashindwa kurudi nilikotoka, kwenye mwili wangu.

5. Hapana. Hilo shamba halikuwa na mazao yoyote zaidi ya miti, ila miti haikuwa imesongamana sana ingawa baadhi ya miti ilikuwa ni mikubwa sana. Sikuona mazao kwenye mashamba jirani ingawa kulikuwa na nyumba zilizotwanyika sana, zilikuwa mbalimbali sana, nyumba za tope zilizoezekwa kwa bati

6. Ndiyo, nilishawahi kutafakati jambo na likatokea, na nilishawahi kuota jambo na hiyo ndoto ikatimia.
 
Huenda safari yako ya maisha hapa duniani ingali fupi sana kuanzia sasa.
Please jikite kuwa humble
 
Ni ya ajabu kwangu! Sijawahi kuiota ndoto ya aina hii!!!

Nimeota nimetoka nje ya mwili wangu na kupaaa hadi eneo ambalo sikuwahi kufika, na hata sasa sipafahamu kama eneo hilo lipo au ni eneo la kufikirika tu. Lakini kama papo, nikipaona nitapakumbuka. Nilikariri baadhi ya maeneo, mfano, mti mkubwa, mto, na shamba lililopo kando ya mto.

Mwendo ulikuwa wa pole pole, na nilikuwa nikijaribu kukariri maeneo ili kama nikitaka kwenda nikiwa kwenye mwili niweze kupakumbuka. Nilikuwa najua kuwa sikuwa kwenye mwili.

Nilipoanza safari ya kwenda huko nilikokuwa nikienda, sikuwa najua nitakakoishia, wala sikujua lengo. Nilihisi kuwa labda ninaenda kuoneshwa eneo lenye madini kwa sababu kabla ya kulala, nilikuwa nikisoma makala mbalimbali za madini na vito vya thamani. Nilikuwa pia na shauku ya kuona mwisho wa hiyo safari. Nilikuwa nikiifurahia.

Maeneo niliyoenda ni ya vijijini. Nyumba zilikuwa chache, na ni za kivijijini (zimejengwa kwa tope zikaezekwa kwa bati), na zilikuwa mbalimbali sana.

Nilipofika penye shamba lililokuwa linaenda mpaka mtoni, nililitazama kwa muda kama vile nilikuwa nalikagua, kisha nikasema, "God, do you want me to buy this piece of land? Thank You". Kwa Kiswahili, (Mungu, unataka nilinunue hili shamba? Asante).

Nikiwa hapo mtoni, nilianza kuhofia kuwa nisije nikashindwa kurejea kwenye mwili wangu. Papo hapo niligeuza na kuanza kurudi hadi hatimaye nikajua kuwa sasa nimesharejea kwenye mwili wangu, na nikajitahidi kuamka.

Kwenye kuamka ilikuwa kama vile mtu aliyekamatwa na "jinamizi", lakini niliishinda hiyo hali na hatimaye nikaamka.

Nimejaribu kuitafakari hiyo ndoto lakini mpaka sasa sijapata mwanga!

Kuna anayeweza kusema "kitu"?
Tafakari hilo swali lako ulilomuuliza Mungu. Labda ni wakati sahihi wewe kuweka uwekezaji kwenye hiyo sekta ya madini. Angalia vigezo vyako kama vimetimia, fanya utafiti inawezekana unaonyeshwa njia.

Inaonekana una interest kubwa kwenye hiyo sekta sababu hata jina lako linaonyesha hivyo.
 
Tafakari hilo swali lako ulilomuuliza Mungu. Labda ni wakati sahihi wewe kuweka uwekezaji kwenye hiyo sekta ya madini. Angalia vigezo vyako kama vimetimia, fanya utafiti inawezekana unaonyeshwa njia.

Inaonekana una interest kubwa kwenye hiyo sekta sababu hata jina lako linaonyesha hivyo.
Ni kweli mkuu! Nina interest kubwa sana kwenye hiyo sekta.
 
Back
Top Bottom