Nimeota ndoto ya ajabu!

Nimeota ndoto ya ajabu!

Ni kweli mkuu! Nina interest kubwa sana kwenye hiyo sekta.

Ni kwamba hiyo interest imeingia hadi ndani kabisa ya your subconscious mind.

Hapo intelligence, universal mind, the source inakuambia uwekeze zaidi huko kimikakati, kwa utafiti zaidi.
 
Ni kwamba hiyo interest imeingia hadi ndani kabisa ya your subconscious mind.

Hapo intelligence, universal mind, the source inakuambia uwekeze zaidi huko kimikakati, kwa utafiti zaidi.
🙏🙏🙏
 
wanga na wachawi wanataka kukutumia vibaya ikiwa ni pamoja na kuwa msukule..

Omba na kukemea kwa bidii sana hiyo roho ya kichawi na kishirikina inayokuzengea.

watesi wako ni watu wanaokufahamu kabisa, wanataka kukupora nyota ndoto ya mafanikio yako inayongaa sana, kusambaratisha na kutokomeza uwezo wa familia na ukoo wako katika nyanja zote.

That's alert for you to be careful, kuna jaribu kubwa linakujia na linaweza kua kama lile la Yesu alipopelekwa juu ya kilele cha mlima na Ibilisi, na kisha akaambiwa ajirushe, ikiwa kweli wewe ni mwana wa Mungu 🐒
Kwa kuwa Mungu Yupo upande wangu hakuna atakayekuwa juu yangu!
 
Astra projection siyo kwamba mtu anakusudia kufanya hivyo?

Mimi sikukusidia, na sikuwa ninafahamu nililokuwa nikienda, japo nilikuwa na shauku ya kuona mwisho wake.
Ulikua unahisi kama vile unajiendesha ama ilikua inaenda tu yenyewe?
 
Zinanitokea Mara nyingi ndoto za Aina hii.. I just take them dreams..
 
Ni ya ajabu kwangu! Sijawahi kuiota ndoto ya aina hii!!!

Nimeota nimetoka nje ya mwili wangu na kupaaa hadi eneo ambalo sikuwahi kufika, na hata sasa sipafahamu kama eneo hilo lipo au ni eneo la kufikirika tu. Lakini kama papo, nikipaona nitapakumbuka. Nilikariri baadhi ya maeneo, mfano, mti mkubwa, mto, na shamba lililopo kando ya mto.

Mwendo ulikuwa wa pole pole, na nilikuwa nikijaribu kukariri maeneo ili kama nikitaka kwenda nikiwa kwenye mwili niweze kupakumbuka. Nilikuwa najua kuwa sikuwa kwenye mwili.

Nilipoanza safari ya kwenda huko nilikokuwa nikienda, sikuwa najua nitakakoishia, wala sikujua lengo. Nilihisi kuwa labda ninaenda kuoneshwa eneo lenye madini kwa sababu kabla ya kulala, nilikuwa nikisoma makala mbalimbali za madini na vito vya thamani. Nilikuwa pia na shauku ya kuona mwisho wa hiyo safari. Nilikuwa nikiifurahia.

Maeneo niliyoenda ni ya vijijini. Nyumba zilikuwa chache, na ni za kivijijini (zimejengwa kwa tope zikaezekwa kwa bati), na zilikuwa mbalimbali sana.

Nilipofika penye shamba lililokuwa linaenda mpaka mtoni, nililitazama kwa muda kama vile nilikuwa nalikagua, kisha nikasema, "God, do you want me to buy this piece of land? Thank You". Kwa Kiswahili, (Mungu, unataka nilinunue hili shamba? Asante).

Nikiwa hapo mtoni, nilianza kuhofia kuwa nisije nikashindwa kurejea kwenye mwili wangu. Papo hapo niligeuza na kuanza kurudi hadi hatimaye nikajua kuwa sasa nimesharejea kwenye mwili wangu, na nikajitahidi kuamka.

Kwenye kuamka ilikuwa kama vile mtu aliyekamatwa na "jinamizi", lakini niliishinda hiyo hali na hatimaye nikaamka.

Nimejaribu kuitafakari hiyo ndoto lakini mpaka sasa sijapata mwanga!

Kuna anayeweza kusema "kitu"?

Asante!
Pole ungeendelea kwenda ilikua ndo unadedi mkuu, umeshasikia watu wanekufa usingizini?
 
At last it was late enough to retire. The old man trundled his wheelchair to the side of the hard, hard bed and climbed in. With a sigh of relief he settled back. “Now for freedom,” he thought, “freedom to wander at will throughout the world by astral travel.”

For some moments he rested, lost in thought,

then, the night's journey decided upon, he relaxed for the preparatory stages.

Soon there came the familiar slight jerk, almost a start as if one had been frightened, and with the slight jerk the astral body shook free from the physical. Shook free and drifted upwards, higher and higher.
 
Kwenye kuamka ilikuwa kama vile mtu aliyekamatwa na "jinamizi", lakini niliishinda hiyo hali na hatimaye nikaamka.

Nimejaribu kuitafakari hiyo ndoto lakini mpaka sasa sijapata mwanga!
Hahaha Mzee nikuambie kitu Mimi nimeota km wewe Mimi kuna utofauti mkubwa sana na wewe I think ni kazi ya Ubongo, nimeota kuna Mimi nilielala halafu kuna Mimi mwingine ambae yupo macho huku Porini nilipo kipindi hiki ni kuna baridi hatari sana sasa huyu Mimi nilielala nikawa namuona Mimi mwingine akiwa anakagua madirisha km yamefungwa vizuri ndio memory zikaanza kurudi kwamba nakaguaje madirisha wakati yote nilishapiga lock isipokua dirisha moja tu ndio mwili ukaamuru macho yafumbuke ili kusudi nimuone huyo MIMI mwingine nafungua pazia simuoni Mimi mwingine nikasogea kwenye dirisha ambalo memory iliniambia sikupiga lock kuangalia kweli sikupiga lock nikalock baada ya hapo usingizi hauji tena nahisi yule Mimi mwingine bado yupo around mpaka nilale tena ndio arudi kwenye mwili maana memory inaniambia km yupo nje huko anapigwa na baridi maana anapenda sana kuzurula mwili umebakia hauna mtu hapa huyu jamaa mwenye huu mwili anapenda kutokatoka sana kwenye mwili wake

-Grandma Take Me Home (GTMH)
 
In the astral we can travel at any speed we will. ‘

We will’ is a deliberate pair of words, because we actually ‘will’ the speed at which we travel, the height and the route.

If, for example, we want to enjoy the wondrous scenery of the astral world with its verdant pastures and its lushly stocked lakes, we can drift as light as thistledown just above the land, just above the water, or we can rise higher and soar over the astral mountain tops.
 
Back
Top Bottom