Noel wa ruben
JF-Expert Member
- Oct 11, 2020
- 364
- 515
Ndug zangu, msaada wa haraka kwenu juu ya hii ndogo nafahamu hapa kuna watu wabobezi wa mambo mbalibali, ndoto hiyo imenipa hofu sana.
Ndugu zangu naombeni maaana ya ndoto hiyo kama ndoto hiyo inaashiria mabaya naomba nisaidiwe namna ya kutatua changamoto hiyo.
Ndugu zangu naombeni maaana ya ndoto hiyo kama ndoto hiyo inaashiria mabaya naomba nisaidiwe namna ya kutatua changamoto hiyo.