Nimeota nimejisaidia haja kubwa

Nimeota nimejisaidia haja kubwa

Ndug zangu, msaada wa haraka kwenu juu ya hii ndogo nafahamu hapa kuna watu wabobezi wa mambo mbalibali, ndoto hiyo imenipa hofu sana.

Ndugu zangu naombeni maaana ya ndoto hiyo kama ndoto hiyo inaashiria mabaya naomba nisaidiwe namna ya kutatua changamoto hiyo.
malizia basi kwamba ulijinyea papaa kimba!!!,manake kawaida ukiota umejinyea lazima kimba likutoke,ata ukiota umejikojolea lazima mkojo ukuchomoke!!
 
Ndug zangu, msaada wa haraka kwenu juu ya hii ndogo nafahamu hapa kuna watu wabobezi wa mambo mbalibali, ndoto hiyo imenipa hofu sana.

Ndugu zangu naombeni maaana ya ndoto hiyo kama ndoto hiyo inaashiria mabaya naomba nisaidiwe namna ya kutatua changamoto hiyo.
Mkuu hiyo ni dalili kuwa utapata pesa nyingi sana, utarudi hapa kudhibitisha hili.
 
Ndug zangu, msaada wa haraka kwenu juu ya hii ndogo nafahamu hapa kuna watu wabobezi wa mambo mbalibali, ndoto hiyo imenipa hofu sana.

Ndugu zangu naombeni maaana ya ndoto hiyo kama ndoto hiyo inaashiria mabaya naomba nisaidiwe namna ya kutatua changamoto hiyo.
Screenshot_20220906-130430_1.jpg
 
Back
Top Bottom