NIMEOTA NIMEPIGIWA SIMU NA KAKA KUPEWA TAARIFA YA KIFO CHA MAMA........

NIMEOTA NIMEPIGIWA SIMU NA KAKA KUPEWA TAARIFA YA KIFO CHA MAMA........

RoadLofa

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2017
Posts
1,509
Reaction score
3,313
Aiseee kulala lala mchana jau sana leo nikiwa nimelala nikaota nimepigiwa simu na kaka yangu ninayemfuatia kuzaliwa akidai tumefiwa na mama yetu mkubwa japo hatruna mama mzazi wala mama wakubwa wote waameshatangulia mbele za haki na tumebaki na mama mdogo tu/mlezi na akaiunganisha iyo simu na ya kaka yetu mkubwa aisee bro alikuwa analia balaa anavyonipa izo taarifa uku akilalamika amezoea akienda home anafikia kwa mama mkubwa na mama kaondoka atakuwa anafikia wapi?kitu kilichonifanya na mimi kulia sana ndotoni

wakuu hii ndoto jau sana na sijui inamaanisha nini maana hapo kwenye niliyeota kafariki imenipa utata ni nani kati ya mama mdogo au mkubwa ,wakati kiuhalisia mi sina mama wakubwa

sema nilivyostuka nilipiga tu maombi basi.
 
sio mtaalam sana wa haya mambo ila inaweza kuwa na maana upo mbali umejitenga flani hivi na ndugu zako , bila mdogo wako mambo mengi sana yatakupita hivyo anza kutembelea ndugu zako, taarifa muhimu kama vifo inabidi upigiwa simu kibao kutoka kwa ndugu aina mbali mbali.

Jaribu kuwa karibu na ndugu zako
 
Kifo ni wajib kwa kila binadam, kwahiyo ni ndoto kama ndoto zingine.
 
Ndoto tu hakuna maana yoyote.
Mimi mara kibao naota niko ma mama yangu tunapiga stori wakati alishafariki miaka mingi iliyopita.

Ndoto hazina maana yoyote mkuu, ni kusindikiza tu usingizi basi.

Kuna ile ndoto karibu kila mtu anaiota ya kukimbizwa ama kuanguka kwenye shimo refu, je ulishaanguka huko?

Relax na endelea na maisha mkuu.
 
Back
Top Bottom