Nimeota nimeua simba halafu watu wakaninyanyua juu na kunishangilia kama shujaa, ndoto hii ina maana gani?

Nimeota nimeua simba halafu watu wakaninyanyua juu na kunishangilia kama shujaa, ndoto hii ina maana gani?

Hata kama siyo kuwa rais wa nchi kuna vita kubwa utaishinda ktk maisha yako pengine ni muumini wa kujichua hahaaaa ukaacha,yamkini kuna mambo ya kisw unachezewa nayo ukayashinda,ama kuna umasikini kwenu ww ukapigana ndio ukawa yusuphu wao.....
 
Unaweza pia kuwa rais wa vikoba mtaani kwenu,so unless ww ni Mwigulu keeps dreaming son.
 
Usiku wa kuamkia Leo nimeota nimeua Simba baada kumuua huyo Simba baadhi ya watu wakanibeba kwenye mabega Yao wakinipitisha Kila mtaa huku wakiimba "Shujaa wa nchi".

Asubuhii hii nimemshirikisha ndugu yangu mmoja kuhusu hiyo ndoto na amaitafasiri kwa kuniambia kuwa nitakuwa raisi mwaka ujao wa 2025 kwa sababu ndoto hiyo inafanana na Ile aliyoota Yoseph mtoto wa Yakobo baadaye akawa kiongozi mkubwa katika nchi ya msiri.

Wajuzi wandoto nisaidieni maana ya hiyo ndoto au nikubali maana iliyotolewa na ndugu yangu na nianze kujiandaa kisaikolojia kuwa ndiye rais ajaye wa 2025.
Maana yake umeota ndoto simba kafungwa na yanga, maana ndoto nyingi huwa ni kinyume chake.
 
Usiku wa kuamkia Leo nimeota nimeua Simba baada kumuua huyo Simba baadhi ya watu wakanibeba kwenye mabega Yao wakinipitisha Kila mtaa huku wakiimba "Shujaa wa nchi".

Asubuhii hii nimemshirikisha ndugu yangu mmoja kuhusu hiyo ndoto na amaitafasiri kwa kuniambia kuwa nitakuwa raisi mwaka ujao wa 2025 kwa sababu ndoto hiyo inafanana na Ile aliyoota Yoseph mtoto wa Yakobo baadaye akawa kiongozi mkubwa katika nchi ya msiri.

Wajuzi wandoto nisaidieni maana ya hiyo ndoto au nikubali maana iliyotolewa na ndugu yangu na nianze kujiandaa kisaikolojia kuwa ndiye rais ajaye wa 2025.
We ni kolo au mwananchi!?
 
Usiku wa kuamkia Leo nimeota nimeua Simba baada kumuua huyo Simba baadhi ya watu wakanibeba kwenye mabega Yao wakinipitisha Kila mtaa huku wakiimba "Shujaa wa nchi".

Asubuhii hii nimemshirikisha ndugu yangu mmoja kuhusu hiyo ndoto na amaitafasiri kwa kuniambia kuwa nitakuwa raisi mwaka ujao wa 2025 kwa sababu ndoto hiyo inafanana na Ile aliyoota Yoseph mtoto wa Yakobo baadaye akawa kiongozi mkubwa katika nchi ya msiri.

Wajuzi wandoto nisaidieni maana ya hiyo ndoto au nikubali maana iliyotolewa na ndugu yangu na nianze kujiandaa kisaikolojia kuwa ndiye rais ajaye wa 2025.
Ndoto nyingine zinakuja lakini kutimia siyo leo kwahiyo usiwe na hraka subiri
 
Usiku wa kuamkia Leo nimeota nimeua Simba baada kumuua huyo Simba baadhi ya watu wakanibeba kwenye mabega Yao wakinipitisha Kila mtaa huku wakiimba "Shujaa wa nchi".

Asubuhii hii nimemshirikisha ndugu yangu mmoja kuhusu hiyo ndoto na amaitafasiri kwa kuniambia kuwa nitakuwa raisi mwaka ujao wa 2025 kwa sababu ndoto hiyo inafanana na Ile aliyoota Yoseph mtoto wa Yakobo baadaye akawa kiongozi mkubwa katika nchi ya msiri.

Wajuzi wandoto nisaidieni maana ya hiyo ndoto au nikubali maana iliyotolewa na ndugu yangu na nianze kujiandaa kisaikolojia kuwa ndiye rais ajaye wa 2025.
Ndoto yakuona umeuwa simba inaanisha kuna adui mkubwa yako ambaye nimkali kama simba na umefanikiwa kumuangamiza,
 
We jisemeshe tu unataka kua rais uje usombelewe na gari halina plate namba ukaote vizuri huko kusikojulikana
 
Back
Top Bottom