Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Inawezekana, ni kama pia ukiwa unafanya vitu vyako vizuri vya maendeleo aseee naona ukisimulia watu vinaingia gundu haviendi ila ukifanya kimya kimya mambo yanakua kama rula.Exactly 💯
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana, ni kama pia ukiwa unafanya vitu vyako vizuri vya maendeleo aseee naona ukisimulia watu vinaingia gundu haviendi ila ukifanya kimya kimya mambo yanakua kama rula.Exactly 💯
Naunga mkono hojaInawezekana, ni kama pia ukiwa unafanya vitu vyako vizuri vya maendeleo aseee naona ukisimulia watu vinaingia gundu haviendi ila ukifanya kimya kimya mambo yanakua kama rula.
Aziz Ki anaondoka unasinya wewe jangwani
Maana yake umeota ndoto simba kafungwa na yanga, maana ndoto nyingi huwa ni kinyume chake.Usiku wa kuamkia Leo nimeota nimeua Simba baada kumuua huyo Simba baadhi ya watu wakanibeba kwenye mabega Yao wakinipitisha Kila mtaa huku wakiimba "Shujaa wa nchi".
Asubuhii hii nimemshirikisha ndugu yangu mmoja kuhusu hiyo ndoto na amaitafasiri kwa kuniambia kuwa nitakuwa raisi mwaka ujao wa 2025 kwa sababu ndoto hiyo inafanana na Ile aliyoota Yoseph mtoto wa Yakobo baadaye akawa kiongozi mkubwa katika nchi ya msiri.
Wajuzi wandoto nisaidieni maana ya hiyo ndoto au nikubali maana iliyotolewa na ndugu yangu na nianze kujiandaa kisaikolojia kuwa ndiye rais ajaye wa 2025.
We ni kolo au mwananchi!?Usiku wa kuamkia Leo nimeota nimeua Simba baada kumuua huyo Simba baadhi ya watu wakanibeba kwenye mabega Yao wakinipitisha Kila mtaa huku wakiimba "Shujaa wa nchi".
Asubuhii hii nimemshirikisha ndugu yangu mmoja kuhusu hiyo ndoto na amaitafasiri kwa kuniambia kuwa nitakuwa raisi mwaka ujao wa 2025 kwa sababu ndoto hiyo inafanana na Ile aliyoota Yoseph mtoto wa Yakobo baadaye akawa kiongozi mkubwa katika nchi ya msiri.
Wajuzi wandoto nisaidieni maana ya hiyo ndoto au nikubali maana iliyotolewa na ndugu yangu na nianze kujiandaa kisaikolojia kuwa ndiye rais ajaye wa 2025.
kamekula mno usikuKamejishibia kenyewe chai na vitumbua😄
Ndoto nyingine zinakuja lakini kutimia siyo leo kwahiyo usiwe na hraka subiriUsiku wa kuamkia Leo nimeota nimeua Simba baada kumuua huyo Simba baadhi ya watu wakanibeba kwenye mabega Yao wakinipitisha Kila mtaa huku wakiimba "Shujaa wa nchi".
Asubuhii hii nimemshirikisha ndugu yangu mmoja kuhusu hiyo ndoto na amaitafasiri kwa kuniambia kuwa nitakuwa raisi mwaka ujao wa 2025 kwa sababu ndoto hiyo inafanana na Ile aliyoota Yoseph mtoto wa Yakobo baadaye akawa kiongozi mkubwa katika nchi ya msiri.
Wajuzi wandoto nisaidieni maana ya hiyo ndoto au nikubali maana iliyotolewa na ndugu yangu na nianze kujiandaa kisaikolojia kuwa ndiye rais ajaye wa 2025.
AminaUsinisahau kwenye ufalme wako hatakama nikiwa marehemu.
Ndoto yakuona umeuwa simba inaanisha kuna adui mkubwa yako ambaye nimkali kama simba na umefanikiwa kumuangamiza,Usiku wa kuamkia Leo nimeota nimeua Simba baada kumuua huyo Simba baadhi ya watu wakanibeba kwenye mabega Yao wakinipitisha Kila mtaa huku wakiimba "Shujaa wa nchi".
Asubuhii hii nimemshirikisha ndugu yangu mmoja kuhusu hiyo ndoto na amaitafasiri kwa kuniambia kuwa nitakuwa raisi mwaka ujao wa 2025 kwa sababu ndoto hiyo inafanana na Ile aliyoota Yoseph mtoto wa Yakobo baadaye akawa kiongozi mkubwa katika nchi ya msiri.
Wajuzi wandoto nisaidieni maana ya hiyo ndoto au nikubali maana iliyotolewa na ndugu yangu na nianze kujiandaa kisaikolojia kuwa ndiye rais ajaye wa 2025.
HelloKamejishibia kenyewe chai na vitumbua😄