View attachment 3131866
Leo saa 7 mchana nipo kwenye daladala nikapitiwa na usingizi mzito sana,kwa mda mchache tena usingizi ulikuja ghafla sana
lakini kwenye usingizi huo niliota kandoto nacho kalikuwa kafupi tu kama ka dakika 3,niliota Philip Mbangula anapiga shuti nje ya 18 kipa anajitahidi kuruka lakini anashindwa kuufikia mpira na mpira kutinga wavuni,punde mpira umeisha mashabiki wanaingia uwanjani wanawakimbiza na bakora wachezaji waliofungwa na koplo Mbangula
SIOTAGI NDOTO SANA NIKILALA MCHANA LAKINI MARA NYINGI NIKIOTGA MCHANA NILICHOOTA HUTOKEAGA KWELI.TUOMBE MUNGU HII NDOTO ISIWE KWELI WATU WATAUANA KESHO
ni hayo...GUVU MOYA
Una utani na wazee wa simba wewe?View attachment 3131866
Leo saa 7 mchana nipo kwenye daladala nikapitiwa na usingizi mzito sana,kwa mda mchache tena usingizi ulikuja ghafla sana...
Kwahyo hauko upande wa wazee?Yanga na Simba ni chanzo cha tatizo la afya ya akili. Leo Wazee wa Simba nao wanaitisha press conference kuongea upuuzi. Wanataka na kuitisha na maandamano.
😄😄😄pambavuuu...View attachment 3131866
Leo saa 7 mchana nipo kwenye daladala nikapitiwa na usingizi mzito sana,kwa mda mchache tena usingizi ulikuja ghafla san...
Hata siku moja siwezi kuwa upande wa wazee mimi bado kijana sana. Hao tayari washaanza kuwa na akili za kitotoKwahyo hauko upande wa wazee?
😆😝🤣 Mama mkwe wako?Mie mchana nimeota mama kafa ...
Pole sana. Andaa Safari ya kwenda kuzika!Mie mchana nimeota mama kafa ...
🤣🤣🤣 Atavuna alichokipandaUkija kuota unaingia chooni, usije ukajaribu kujisaidia...😂
Ahahauaa weweee wazee dawa wacha wachangamshe mjiHata siku moja siwezi kuwa upande wa wazee mimi bado kijana sana. Hao tayari washaanza kuwa na akili za kitoto
Yule aliyeota hii ndoto bado amelala ? 🤣🤣🤣Ahahauaa weweee wazee dawa wacha wachangamshe mji
Hao wala msiongee nao watatuo kwny mstari kikubwa timu ipambane isipoteze mchezo wowote...Yule aliyeota hii ndoto bado amelala ? 🤣🤣🤣
We dem mvulana bado umelala 🤣🤣🤣View attachment 3131866
Leo saa 7 mchana nipo kwenye daladala nikapitiwa na usingizi mzito sana,kwa mda mchache tena usingizi ulikuja ghafla sana lakini kwenye usingizi huo niliota kandoto nacho kalikuwa kafupi tu kama ka dakika 3,niliota Philip Mbangula anapiga shuti nje ya 18 kipa anajitahidi kuruka lakini anashindwa kuufikia mpira na mpira kutinga wavuni,punde mpira umeisha mashabiki wanaingia uwanjani wanawakimbiza na bakora wachezaji waliofungwa na koplo Mbangula
SIOTAGI NDOTO SANA NIKILALA MCHANA LAKINI MARA NYINGI NIKIOTGA MCHANA NILICHOOTA HUTOKEAGA KWELI.TUOMBE MUNGU HII NDOTO ISIWE KWELI WATU WATAUANA KESHO
ni hayo...GUVU MOYA