Nimeota Philip Mbangula anapiga shuti nje ya 18 kipa anajitahidi kuruka lakini anashindwa

Nimeota Philip Mbangula anapiga shuti nje ya 18 kipa anajitahidi kuruka lakini anashindwa

View attachment 3131866

Leo saa 7 mchana nipo kwenye daladala nikapitiwa na usingizi mzito sana,kwa mda mchache tena usingizi ulikuja ghafla sana lakini kwenye usingizi huo niliota kandoto nacho kalikuwa kafupi tu kama ka dakika 3,niliota Philip Mbangula anapiga shuti nje ya 18 kipa anajitahidi kuruka lakini anashindwa kuufikia mpira na mpira kutinga wavuni,punde mpira umeisha mashabiki wanaingia uwanjani wanawakimbiza na bakora wachezaji waliofungwa na koplo Mbangula

SIOTAGI NDOTO SANA NIKILALA MCHANA LAKINI MARA NYINGI NIKIOTGA MCHANA NILICHOOTA HUTOKEAGA KWELI.TUOMBE MUNGU HII NDOTO ISIWE KWELI WATU WATAUANA KESHO

ni hayo...GUVU MOYA
Amka ukojoe ulale aisee
 
Back
Top Bottom