Nimeota Simba atapigwa 5 ila atafanikiwa kurudisha kipindi cha pili, Sijajua ni kati ya Horoya au Raja Casablanca

Nimeota Simba atapigwa 5 ila atafanikiwa kurudisha kipindi cha pili, Sijajua ni kati ya Horoya au Raja Casablanca

John Gregory

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2019
Posts
1,137
Reaction score
2,147
Wakuu,

Hii ndoto nimeota mtu kapigwa 5 then zikarudi kwenye secons half, Japo sijajua ni mpinzani yupi kati ya Horoya au Raja Casablanca.

NB: Ni ndoto tu, No guarantee.
 
Wakuu,
Hii ndoto nimeota mtu kapigwa 5 then zikarudi kwenye secons half, Japo sijajua ni mpinzani yupi kati ya Horoya au Raja Casablanca.

NB: ni ndoto tu, No guarantee.
Mkuu lala tena uote,yafike hata saba
 
Wakuu,
Hii ndoto nimeota mtu kapigwa 5 then zikarudi kwenye secons half, Japo sijajua ni mpinzani yupi kati ya Horoya au Raja Casablanca.

NB: ni ndoto tu, No guarantee.
Katika ndoto hiyo hakukuwepo kipengele cha kwenda kujisaidia haja ndogo?
 
Kolo FC achomoe goals zote hizo.....ama kweli hyo ni ndoto
 
Wakuu,
Hii ndoto nimeota mtu kapigwa 5 then zikarudi kwenye secons half, Japo sijajua ni mpinzani yupi kati ya Horoya au Raja Casablanca.

NB: ni ndoto tu, No guarantee.
Ukilala na njaa lazima uote ndoto za kifala tu
 
Back
Top Bottom