Ingekuwa ajabu kama usingeota, maana umewekeza nguvu kwenye ushabiki wa soka kweli kweli, kila baada ya saa moja unaanzisha Uzi wa Simba. Kuota sio ajabu, usingeota ingekuwa ajabu!Wadau Baada ya kukesha usiku mzima nikipiga Dua Ili timu yetu ( ayubu fc) ishinde
Chaajabu asubuhi hii nimejiegesha kidogo huku usingizi ukinichukua ... after while nimeota ndoto Kuna watu Wanashangilia Kwa kiarabu ....huku wengine wakizomea Kwa kiswahili na kung'oa viti na kurusha uwanjani....nmeshtuka sana Kwa kweli
Waarabu walikuwa wanasemaje hivi نحن نفوز، نحن نفوز، نحن نفوز، نحن نفوز، نحن نفوز.
Japo nmeshindwa kutafsiri hii ndoto
Mshana Jr ....mkuu nisaidie kutafsiri hii ndoto [emoji1666][emoji1666]
Ukienda usikae na waarabu maana umekiri huwaelewi.Hapana mkuu mi npo hom.....bado sijaenda Kwa mkapa
PoaSaidia kujua maana yake mkuu
Hapana mkuu....nna kazi nyingi siwezi shinda humu jfIngekuwa ajabu kama usingeota, maana umewekeza nguvu kwenye ushabiki wa soka kweli kweli, kila baada ya saa moja unaanzisha Uzi wa Simba. Kuota sio ajabu, usingeota ingekuwa ajabu!
Nahnu maana yake sisi hio nafwaz aje mwengn kutafsiri 😅Wadau Baada ya kukesha usiku mzima nikipiga Dua Ili timu yetu ( ayubu fc) ishinde
Chaajabu asubuhi hii nimejiegesha kidogo huku usingizi ukinichukua ... after while nimeota ndoto Kuna watu Wanashangilia Kwa kiarabu ....huku wengine wakizomea Kwa kiswahili na kung'oa viti na kurusha uwanjani....nmeshtuka sana Kwa kweli
Waarabu walikuwa wanasemaje hivi نحن نفوز، نحن نفوز، نحن نفوز، نحن نفوز، نحن نفوز.
Japo nmeshindwa kutafsiri hii ndoto
Mshana Jr ....mkuu nisaidie kutafsiri hii ndoto [emoji1666][emoji1666]
Sasa uponkwajo unaotaje ndoto za kijinga namna hiyo??Nipo kwangu mkuu......pia napangisha kama unahitaji vyumba