Nimeota wakishangilia Kwa kiarabu, huku wengine waking'oa viti

Nimeota wakishangilia Kwa kiarabu, huku wengine waking'oa viti

Mbahatishaji
sawa,,na hii?๐Ÿ‘‡

download (1).jpeg
 
Wadau Baada ya kukesha usiku mzima nikipiga Dua Ili timu yetu ( ayubu fc) ishinde

Chaajabu asubuhi hii nimejiegesha kidogo huku usingizi ukinichukua ... after while nimeota ndoto Kuna watu Wanashangilia Kwa kiarabu ....huku wengine wakizomea Kwa kiswahili na kung'oa viti na kurusha uwanjani....nmeshtuka sana Kwa kweli

Waarabu walikuwa wanasemaje hivi ู†ุญู† ู†ููˆุฒุŒ ู†ุญู† ู†ููˆุฒุŒ ู†ุญู† ู†ููˆุฒุŒ ู†ุญู† ู†ููˆุฒุŒ ู†ุญู† ู†ููˆุฒ.
Japo nmeshindwa kutafsiri hii ndoto
Mshana Jr ....mkuu nisaidie kutafsiri hii ndoto [emoji1666][emoji1666]
Mbona umejificha uvunguni sasa [emoji23]
FB_IMG_1697710177255.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadau Baada ya kukesha usiku mzima nikipiga Dua Ili timu yetu ( ayubu fc) ishinde

Chaajabu asubuhi hii nimejiegesha kidogo huku usingizi ukinichukua ... after while nimeota ndoto Kuna watu Wanashangilia Kwa kiarabu ....huku wengine wakizomea Kwa kiswahili na kung'oa viti na kurusha uwanjani....nmeshtuka sana Kwa kweli

Waarabu walikuwa wanasemaje hivi ู†ุญู† ู†ููˆุฒุŒ ู†ุญู† ู†ููˆุฒุŒ ู†ุญู† ู†ููˆุฒุŒ ู†ุญู† ู†ููˆุฒุŒ ู†ุญู† ู†ููˆุฒ.
Japo nmeshindwa kutafsiri hii ndoto

Mshana Jr ....mkuu nisaidie kutafsiri hii ndoto [emoji1666][emoji1666]
Nadhani mpaka sasa umeshapata tafsiri [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom