Unamaanisha nini sasa?Utani wa kitoto
MTU mzima hovyo
mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
Sio bure, wewe lazima utakuwa unakula ndumu pamoja na mbegu zake.Kama we ni ME andaa KY make jana walikuwa wanafanya reconnaissance leo wanakuja kufanya kazi yao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah... na usawa wenyewe huu. Nafikiria kupeleka taarifa rasmi Pale central.Andaa pesa ya kwenda kutibiwa kenya.
Daah.. hataree. pokea tu waambie haupo nyumbani. Umesafiri.
Wamenipigia simu...
Kweli mkuu. Bora waumize miguu kuliko Mapafu, ini au moyo...Usisahau kulaza siti za gari pindi waanzapo kushambulia
Njoo PM [emoji7] [emoji7] [emoji8] [emoji41]
Hapa napambana na watu wasiojulikana. Nadhani na wewe hujulikani.Njoo PM [emoji7] [emoji7] [emoji8] [emoji41]
Mie raia mwema kabisa. Na hii ndoto inaninyima rahanyendo zako zinachunguzwa !