Nimeota, watu wasiojulikana wamefika kwangu

Nimeota, watu wasiojulikana wamefika kwangu

chifu77

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2014
Posts
902
Reaction score
596
Ndugu wanaJF.
Siku ya leo inakaribia kuisha nikiwa sina amani kabisa. Usiku wa kuamkia leo nimeota watu wasiojulikana wamefika nyumbani kwangu. lakini hawakushuka kwenye gari, wakageuza wakatokomea kusikojulikana.

Naomba msaada wa tafsiri ya hii ndoto.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utani wa kitoto
MTU mzima hovyo

mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
 
7a8a54e34d0ce88be6962742a6bbb98c.jpg

Wamenipigia simu...
 
Back
Top Bottom