Utani wa kitoto
MTU mzima hovyo
mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
Wewe ni ke lazima
Kama we ni ME andaa KY make jana walikuwa wanafanya reconnaissance leo wanakuja kufanya kazi yao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Msaada kwangu utakuwa magumu maana ulitakiwa uwafanyie kisichojulika kabla hawajatokomea kusikojulikanaNdugu wanaJF.
Siku ya leo inakaribia kuisha nikiwa sina amani kabisa. Usiku wa kuamkia leo nimeota watu wasiojulikana wamefika nyumbani kwangu. lakini hawakushuka kwenye gari, wakageuza wakatokomea kusikojulikana.
Naomba msaada wa tafsiri ya hii ndoto.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kick mkuu. Hii ndiyo kazi ya jukwaa la chit chat [emoji12] [emoji12] [emoji12]Hizi kick hizi....daah
Ok, hamna shida yoyote itakayokukuta
Hii nimeipenda. halafu nikiwashinda kwenye ndoto hata wakija mchana kweupeeee, nitawashinda pia.Kinga ya ndoto yako:
Kabla ya kulala vuta msokoto mmoja.
Wasiojulikana wakija tena ndotoni utajikuta umeshikilia machine guns mbilì kama Rambo. Utawamiminia shaba za kutosha.
Hawatarudi tena.
Sent using Jamii Forums mobile app
ooooh hapo sawaSio kick mkuu. Hii ndiyo kazi ya jukwaa la chit chat [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji106] [emoji106]Tumeshakubaliana kuwachingia baharini watu wasiojulikana sisi wenyewe bila kuwategemea Police. Ni rahisi zaidi kuwapata sisi wananchi kuliko Police kwasababu tuko kila kona ya nchi na kila uchochoro tupo hawana pa kuchepukia.
Sent using Jamii Forums mobile app