Nimeota, watu wasiojulikana wamefika kwangu

Nimeota, watu wasiojulikana wamefika kwangu

Ndugu wanaJF.
Siku ya leo inakaribia kuisha nikiwa sina amani kabisa. Usiku wa kuamkia leo nimeota watu wasiojulikana wamefika nyumbani kwangu. lakini hawakushuka kwenye gari, wakageuza wakatokomea kusikojulikana.

Naomba msaada wa tafsiri ya hii ndoto.

Sent using Jamii Forums mobile app
Msaada kwangu utakuwa magumu maana ulitakiwa uwafanyie kisichojulika kabla hawajatokomea kusikojulikana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kinga ya ndoto yako:

Kabla ya kulala vuta msokoto mmoja.

Wasiojulikana wakija tena ndotoni utajikuta umeshikilia machine guns mbilì kama Rambo. Utawamiminia shaba za kutosha.

Hawatarudi tena.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kinga ya ndoto yako:

Kabla ya kulala vuta msokoto mmoja.

Wasiojulikana wakija tena ndotoni utajikuta umeshikilia machine guns mbilì kama Rambo. Utawamiminia shaba za kutosha.

Hawatarudi tena.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii nimeipenda. halafu nikiwashinda kwenye ndoto hata wakija mchana kweupeeee, nitawashinda pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumeshakubaliana kuwachingia baharini watu wasiojulikana sisi wenyewe bila kuwategemea Police. Ni rahisi zaidi kuwapata sisi wananchi kuliko Police kwasababu tuko kila kona ya nchi na kila uchochoro tupo hawana pa kuchepukia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom