Kidagaa kimemwozea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 3,680
- 6,554
Inakuwaje zaidi ya mara tatu naota napigana na mshua😂, yaani tunapigana sana na mawe wakati mwingine namhurumia lakini na yaye ananitupia mawe inabidi na mimi nimrushie.
Yaani tunapigana sana 😭, ni ndoto ya kujirudia pamoja na kuwa tuna mahusiano mazuri.
Tafsiri tafadhali.
Yaani tunapigana sana 😭, ni ndoto ya kujirudia pamoja na kuwa tuna mahusiano mazuri.
Tafsiri tafadhali.