CHA The GREAT
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 651
- 854
Hoja yako ni kuwa ukiona watumishi Wa umma wameongezwa mishahara mwezi huu ionekane ni jambo la jumlajumla hata kwa Marais wengine wamefanya hivyo....
Unajua hiyo ni roho ya namna gani inayokusumbua???Chuki na wivu kwa Rais Magufuli ili aonekane hana lolote....
Mwishowe mtajinyonga ninyi Bavicha isiyo na kichwa sasa