CHA The GREAT
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 651
- 854
Hii ndoto hii, imekuja baada ya mimi kuwa nimejifungia chumbani kwangu na kuangalia TV kwenye channel isiyopatikana hapa Tanzania. ha ha ha ha...
Channel hiyo imeripoti kuwa, Rais Museven wa Uganda, amewapandisha vyeo wanajeshi 300 (mia tatu).
Ha ha ha wakati naangalia channel hiyo, mtangazaji mmoja alinukuliwa akisema hiyo ni sawa na kumhonga hela mwanamke asiyekutaka ama kukupenda.
Ha ha ha hah......Mugabe Fever is spreading across African continent.
kwa habari kamili, fungua link hii ya Mwananchi online: Museveni awapandisha vyeo maofisa 300 wa jeshi
Channel hiyo imeripoti kuwa, Rais Museven wa Uganda, amewapandisha vyeo wanajeshi 300 (mia tatu).
Ha ha ha wakati naangalia channel hiyo, mtangazaji mmoja alinukuliwa akisema hiyo ni sawa na kumhonga hela mwanamke asiyekutaka ama kukupenda.
Ha ha ha hah......Mugabe Fever is spreading across African continent.
kwa habari kamili, fungua link hii ya Mwananchi online: Museveni awapandisha vyeo maofisa 300 wa jeshi