Nimepanda daladala kuna mtu anajampa toka mwanzo wa safari natamani nishuke

Anatoka kwenye sherehe huyo lazima. Kapiga bufee la haja. Hajaruka gudulia hata moja [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
 
Gudulia ni chombo. Kwa muktadha huu ni Vyombo vile vinamowekwa vyakula mbalimbali kwenye sherehe. Samahani kwa usumbufu wowote niliokusababishia.[emoji120][emoji120]
Haaaa....shukrani mkuu
 
Kikikuwa kinanukaje
 
Acheni dharau kujamba ni haki ya kila mtu popote pale na mahali popote bila kujali kakaa na nani cha ziada ni afya
 
🀣🀣🀣🀣halafu uzuri ni kale ka "yuuuuuuusuph"temana hiyo habari.nikiachiaga hako kaushuzi najifeel comfortable Kama mbinguni yani.kujamba Raha sana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…