Mcheza Piano
JF-Expert Member
- Mar 2, 2024
- 562
- 1,339
Unalipwa bei gani mkuu?Nomah sana!
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Njoo umpitie mama yako hapa geto.Mshahara ni bwana utapata bwana mwema hapa hapa JF stay tuned
was this necessary?Mshahara ni bwana utapata bwana mwema hapa hapa JF stay tuned
Tuko jukwaa la funnywas this necessary?
CHIZI MAARIFA unaitwa hukuKipindi najiunga JF nilianza na cheo cha member, hata mwisho wa mwezi haujafika tayari wamenipromote kuwa Senior Member. Je ifikapo mwisho wa mwezi ntapata mshahara wa cheo cha awali au cheo kipya?
Je, madaraja ya mishahara yakoje?
Bei ganiii?Unaulizia mshahara eti..?View attachment 2953623
🤣🤣🤣🙌🏿Mshahara ni bwana utapata bwana mwema hapa hapa JF stay tuned
To Yeye kumbe upo.🤣🤣🤣🙌🏿
Inabidi tukague vyeo vyetu😆Senior anakula kama Mia 4 na sh sabini hivi...
Nipo mkuuTo Yeye kumbe upo.