Nimepangiwa CBG; naweza nikasomea Accounting and Finance?

Nimepangiwa CBG; naweza nikasomea Accounting and Finance?

Msaada please 🥺🥺
Michepuo Mizur
Ungesoma ECA, HGE, EGM

Advantage ya ukisoma michepuo tajwa hapo juu hauta pata tabu ukienda Elimu ya juu maana ukikutana na haya maneno "MACRO ECONOMICS" na "MICRO ECONOMICS" hakitakua kitu kigeni..

NB.
Hata iyo CBG ukasomee udocta wa mifugo..😊😊

All in all,
Ukisoma A_level masomo ya sayansi unakua na uwanja mpanaa wa Kuchagua kozi nyingi ikiwemo na hiyo uliyo itaja..
 
Michepuo Mizur
Ungesoma ECA, HGE, EGM

Advantage ya ukisoma michepuo tajwa hapo juu hauta pata tabu ukienda Elimu ya juu maana ukikutana na haya maneno "MACRO ECONOMICS" na "MICRO ECONOMICS" hakitakua kitu kigeni..

NB.
Hata iyo CBG ukasomee udocta wa mifugo..😊😊

All in all,
Ukisoma A_level masomo ya sayansi unakua na uwanja mpanaa wa Kuchagua kozi nyingi ikiwemo na hiyo uliyo itaja..
Kwa hiyo inawezekana au lah
 
Kwa hiyo inawezekana au lah
Generally criteria kwenye guide book ya TCU kwenye kozi unayo taka kuja kusoma.

Entry Requirement and Eligibility​

Direct Entry: Must have two principal passes in the following subjects: History, Geography, Kiswahili, English Language, French, Arabic, Fine Art, Economics, Commerce, Accountancy, Physics, Chemistry, Biology, Advanced Mathematics, Agriculture, Computer Science or Nutrition. Those without a principal pass or a subsidiary pass in Advanced Mathematics or a pass in Basic Applied Mathematics must have a credit at O-Level or Foundation Programme of the OUT with a minimum GPA of 3.0.

So kua na amani mdogo etu....
 
Shida madogo mnapenda sana ile mentality ya mimi nasoma science, kwa CBG siku hizi sio mchepuo wa kuchukuwa (labda kama una ndoto za kusomea mifugo huko mbeleni), kuliko kwenda CBG alafu una ndoto za kusoma kozi za biashara kwanini usichukuwe ECA, HGE au EGM moja kwa moja???, Utakuwa na sio tu uwanja mpana wa kozi za biashara pia hata kuelewa kwako haitakuwa ngumu ukifika chuo.
Hizo mentality za PCB/PCM anaweza kusoma kozi yoyote ni siasa tu
 
Accounting inabidi ukasome EGM ,ECA au HGE.
Hiyo CBG ni combination mbovu sana itakulimit kusoma kozi nyingi nzuri za sayansi labda kama unampango wa kusoma education.
Hata pcm unasoma bila shida, acha kudanganya.
 
Back
Top Bottom