Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Unasoma bila shida, cha msingi uwe na ufaulu baasi!Msaada please 🥺🥺
NB: Nina jamaa alisoma HGL na sasa ni CPA Holder,na kuna mwingine alisoma PCM akaenda kusoma BAF mzumbe na sasa ni CPA Holder!
Kama una nia nenda kasome, inawezekana bila shida!