Nimepangiwa kikazi Masasi. Mazingira ya huko yapoje?

Nimepangiwa kikazi Masasi. Mazingira ya huko yapoje?

Joined
Dec 3, 2024
Posts
7
Reaction score
8
Habari zenu wanazengo Samahani nimepangiwa kikazi. Masasi Mazingira ya Masasi yapoje mwenyeji anijuze na ipo sehemu gani na mabasi ya kuja huko.

Mtaa gani mzuri ambao hautakuwa mbali sana na sehemu ya kaz? Bei za vyumba zimekaaje? Unalipa.miezi mitatu au sita? Nitatakiwa kupitia kwa dalali ama kuna utaratibu mwingine.

Asanteni
 
Habari zenu wanazengo Samahani nimepangiwa kikazi. Masasi Mazingira ya Masasi yapoje mwenyeji anijuze na ipo sehemu gani na mabasi ya kuja huko.

Mtaa gani mzuri ambao hautakuwa mbali sana na sehemu ya kaz? Bei za vyumba zimekaaje? Unalipa.miezi mitatu au sita? Nitatakiwa kupitia kwa dalali ama kuna utaratibu mwingine.

Asanteni
Ungesema unatokea wapi?na utakuwa sehemu Gani ila watu wa Masasi wakusaidie moja Kwa moja
 
Wilaya ya kijanja na iliyo changamka kushinda mikoa na wiyala zote za mikoa ya kusini, nenda utarudi na majibu hapa

Mitaa ya kijanja Mkuti kati kama utaki kelele kapange mtandi au mtaa unaitwa maliasiri mpya, usije ukapanga mtaa unaitwa migongo, Nyasa, Jida

Viwanja vya Bata ni kibo, BR, kwa Adam viazi n.k sijuh vipo Hadi Leo hivyo viwanja

Nilikaa kidogo hapo wakati navuka Border ya Mtambaswala kwenda nchi za SADC
 
Habari zenu wanazengo Samahani nimepangiwa kikazi. Masasi Mazingira ya Masasi yapoje mwenyeji anijuze na ipo sehemu gani na mabasi ya kuja huko.

Mtaa gani mzuri ambao hautakuwa mbali sana na sehemu ya kaz? Bei za vyumba zimekaaje? Unalipa.miezi mitatu au sita? Nitatakiwa kupitia kwa dalali ama kuna utaratibu mwingine.

Asanteni
Sehemu mbaya sana.

Wanawake wa kule wana ki harufu fulani pia cha hovyo sana.

Panda gari za Maning Nice
 
Habari zenu wanazengo Samahani nimepangiwa kikazi. Masasi Mazingira ya Masasi yapoje mwenyeji anijuze na ipo sehemu gani na mabasi ya kuja huko.

Mtaa gani mzuri ambao hautakuwa mbali sana na sehemu ya kaz? Bei za vyumba zimekaaje? Unalipa.miezi mitatu au sita? Nitatakiwa kupitia kwa dalali ama kuna utaratibu mwingine.

Asanteni
Masasi pako Poa tu kuliko sehemu nyingi huku kusini. Huku ni wewe tu lakin wengi wanaanzia miez mitatu mitatu na Bei ni nafuu
Karibu sana
 
Wilaya ya kijanja na iliyo changamka kushinda mikoa na wiyala zote za mikoa ya kusini, nenda utarudi na majibu hapa

Mitaa ya kijanja Mkuti kati kama utaki kelele kapange mtandi au mtaa unaitwa maliasiri mpya, usije ukapanga mtaa unaitwa migongo, Nyasa, Jida

Viwanja vya Bata ni kibo, BR, kwa Adam viazi n.k sijuh vipo Hadi Leo hivyo viwanja

Nilikaa kidogo hapo wakati navuka Border ya Mtambaswala kwenda nchi za SADC
Kibo ndio Kiwanja kikali masasi nzima kwa sasa.
Kama ni Mzee wa Totoz basi kafika kwenyewe
 
Masasi pako Poa tu kuliko sehemu nyingi huku kusini. Huku ni wewe tu lakin wengi wanaanzia miez mitatu mitatu na Bei ni nafuu
Karibu sana
Nimepangiwaaa kikazi Branch ya TCB Masasi unapojua sehemu ilipo kwa masasi na mazingira ya kupata chumba self ipoje natarajia kureport January
 
Back
Top Bottom