Nimepangiwa kikazi Masasi. Mazingira ya huko yapoje?

Nimepangiwa kikazi Masasi. Mazingira ya huko yapoje?

Wilaya ya kijanja na iliyo changamka kushinda mikoa na wiyala zote za mikoa ya kusini, nenda utarudi na majibu hapa

Mitaa ya kijanja Mkuti kati kama utaki kelele kapange mtandi au mtaa unaitwa maliasiri mpya, usije ukapanga mtaa unaitwa migongo, Nyasa, Jida

Viwanja vya Bata ni kibo, BR, kwa Adam viazi n.k sijuh vipo Hadi Leo hivyo viwanja

Nilikaa kidogo hapo wakati navuka Border ya Mtambaswala kwenda nchi za SADC
Me nimetokea Dar nimepangiwa TCB branh masasi
 
Wilaya ya kijanja na iliyo changamka kushinda mikoa na wiyala zote za mikoa ya kusini, nenda utarudi na majibu hapa

Mitaa ya kijanja Mkuti kati kama utaki kelele kapange mtandi au mtaa unaitwa maliasiri mpya, usije ukapanga mtaa unaitwa migongo, Nyasa, Jida

Viwanja vya Bata ni kibo, BR, kwa Adam viazi n.k sijuh vipo Hadi Leo hivyo viwanja

Nilikaa kidogo hapo wakati navuka Border ya Mtambaswala kwenda nchi za SADC
Huko Nyasa. JIDA kote uswahilini vigodoro kwa sana.
 
Wilaya ya kijanja na iliyo changamka kushinda mikoa na wiyala zote za mikoa ya kusini, nenda utarudi na majibu hapa

Mitaa ya kijanja Mkuti kati kama utaki kelele kapange mtandi au mtaa unaitwa maliasiri mpya, usije ukapanga mtaa unaitwa migongo, Nyasa, Jida

Viwanja vya Bata ni kibo, BR, kwa Adam viazi n.k sijuh vipo Hadi Leo hivyo viwanja

Nilikaa kidogo hapo wakati navuka Border ya Mtambaswala kwenda nchi za SADC
Viwanja vya kujidai kibo,viazi pub,br,CV joint,nk bado vipo
 
Habari zenu wanazengo Samahani nimepangiwa kikazi. Masasi Mazingira ya Masasi yapoje mwenyeji anijuze na ipo sehemu gani na mabasi ya kuja huko.

Mtaa gani mzuri ambao hautakuwa mbali sana na sehemu ya kaz? Bei za vyumba zimekaaje? Unalipa.miezi mitatu au sita? Nitatakiwa kupitia kwa dalali ama kuna utaratibu mwingine.

Asanteni
Mkumbuka kuvaa condom! Mmakonde anyimi ntu hasa mtumishi wa Umma!🙋🏻‍♂️
 
Masasi unaenda kufanya nini?kuwa makini kijana usivamie mke wa mtu.
 
Back
Top Bottom