Nimepangiwa kikazi Masasi. Mazingira ya huko yapoje?

Me nimetokea Dar nimepangiwa TCB branh masasi
 
Huko Nyasa. JIDA kote uswahilini vigodoro kwa sana.
 
Viwanja vya kujidai kibo,viazi pub,br,CV joint,nk bado vipo
 
Mkumbuka kuvaa condom! Mmakonde anyimi ntu hasa mtumishi wa Umma!🙋🏻‍♂️
 
Masasi unaenda kufanya nini?kuwa makini kijana usivamie mke wa mtu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…