Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asipokuelewa wewe hawezi kumuelewa mwingineUkuwa ukweni
Usile hovyo Ili;
Usinye hovyo
Usijambe hovyo
Usiende ende chooni.
Ni Bora ukodi bode ukanye choo Cha Baar au Cha kulipia,ni mwiko kunya kunya ukweni.
Ni mwiko kukaa sana ukweni
Usiongee sana,
Usizurure sana
Rango tulia😂UZI UNANUKA MAVI
Kuna haja gani ya kuichemsha sasa,?? 🤒🤒Pooza usije ng'oka meno................
Kuona aibuAisee huo ni uchafu sasa, kwani ungeuliza choo kilipo ungekufa?
😂😂😂😂sema hii chai ya usku na barifi hili inanoga sana niletee na vtumbua sita mkuu
Na mbu WA kubanika burudanChai ya mudalathini mixa magome ya muarobaini ni tamu sana upate na miogo ya kuchoma utamu mpk kisogoni
Sasa si bora aibu ya kuuliza choo, kuliko hiyo ya kuachia Nnya ndani ?😀Kuona aibu
MmmhAIBU
Kama kawaida mzee wa visa nakuletea kisa kingine iki apa twende sawa.
Dada naomba nipeleke huko kwa wamama kuna aibu imenipata nilikuwa ukweni yani nilienda kwa mara ya kwanza na nilifika usiku nikapewa chumba nililala peke yangu sasa usiku nikabanwa na haja kubwa na chooni sipajui na kutoka nje naogopa ikabidi nichukue chupi yangu nikanyea halafu nikaificha chini ya kitanda lengo langu asubuhi nikatupe.
Sasa asubuhi nimeamka nataka kutoka nikamuona mkwe wangu na wifi yangu wamekaa ikabidi nirudishe mzigo ndani uvunguni nikatoka mwenyewe nikasalimia wifi yangu akainuka akaingia chumbani kwangu sijui alienda kufanya usafi maana aliingia na ufagio gafla naona anamuita mkwe wangu jamani hapo nawaza wasije wakauwona mzigo ila nikasema mbona upo uvunguni.
Mara nikaona wanatoka huku wifi kashika mavi kwenye zoleo halafu mama mkwe anaguna huku anasema kweli kuishi kwingi kuona mengi.