Cheusi Mangala
Member
- Sep 6, 2016
- 26
- 62
Jamani nimepangwa hospitali ya rufaa ya mkoa Katavi. Naomba kujua mazingira ya hii hospitali yakoje? Je ni mpya au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umejuaje kuwa ni wa njisi ya kiumeKuko poa kapambane na wapimbwe ila kua makini na kutongoza wanawake unaweza ukapewa limbwata ukasahau kwenu
Aigugu tuIgugu , mkuu utapata majibu
Mkuu ni hizi za Tamisemi au Zingine?Jamani nimepangwa hospitali ya rufaa ya mkoa Katavi. Naomba kujua mazingira ya hii hospitali yakoje? Je ni mpya au?
Oyah haleluya hapa kafikaje? Acha kutaja taja majina ya watu kijinga.Nesi nenda kapige kazi...utakutana na nesi mwenzio anaitwa haleluya..