Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Wewe nenda taratibu ,,,,HUYU ndo yule husna the boss lady ......atakukata manyonyo hayo apeleke kuzimu ..sasa hapa ngoja nikae chini nijumlishe na kutoa .nigawanye nizidishe .hili zali sio la nchi hii yaani.
Good morning !!.Umenipatia vyote umekosea kumuunga mkono nani sijui... Subiria wengine watakuja
Husna the boss lad sasa hivi unatumia ID gani?Ni aje makamanda, I hope mko poa.
Mwenzenu nilijaribu maisha baada ya kiajira changu cha kwanza lakini ikabidi nirudi home kwanza nikajipange upya, hatimae nimepata kazi ya mshahara ambayo kwa kuanzia maisha ya kifamilia sio mbaya (1.2M take home), pia nina dili kama 2 hivi zitakazonilipa mara 2 au 3 ya huu mshahara wa kazini baada ya miezi michache. Mpango wangu ni kuchukua double room ya self nzuri mwisho wa mwezi.
Kwahiyo natafuta mchumba/mke tuanze maisha from scratch, yaani kama ni chini tulale coz najua nikishachukua nyumba ntalala chini mwezi mmoja. Nataka mwanamke huyu aje kunisaidia kumanage mambo ya finance na kupangilia mji wetu vizuri, ambae atanisapoti wakati mimi naendelea na mishe zangu.
Sifa zake:
Ni PM tuchat chat ndio tupeane namba, kisha tukutane eneo la wazi k.v. mgahawa n.k.
- Apende kula vizuri. Jamani mimi napenda kula vizuri
- Ajue kupangilia bajeti na kudili vizuri na pesa
- Awe anaweza kunishauri
- Mimi ni mkristo, yeye awe mkristo au muislamu mie fresh tu
- Awe mweupe, kama sio mweupe basi awe na msambwanda/kalio mubashara, kama nalo hana basi angalau awe amesoma, kama hajasoma basi awe angalau na ajira, kama hana basi kwao wawe vizuri naamini Mungu hamnyimi mtu vyote.
Ni aje makamanda, I hope mko poa.
Mwenzenu nilijaribu maisha baada ya kiajira changu cha kwanza lakini ikabidi nirudi home kwanza nikajipange upya, hatimae nimepata kazi ya mshahara ambayo kwa kuanzia maisha ya kifamilia sio mbaya (1.2M take home), pia nina dili kama 2 hivi zitakazonilipa mara 2 au 3 ya huu mshahara wa kazini baada ya miezi michache. Mpango wangu ni kuchukua double room ya self nzuri mwisho wa mwezi.
Kwahiyo natafuta mchumba/mke tuanze maisha from scratch, yaani kama ni chini tulale coz najua nikishachukua nyumba ntalala chini mwezi mmoja. Nataka mwanamke huyu aje kunisaidia kumanage mambo ya finance na kupangilia mji wetu vizuri, ambae atanisapoti wakati mimi naendelea na mishe zangu.
Sifa zake:
Ni PM tuchat chat ndio tupeane namba, kisha tukutane eneo la wazi k.v. mgahawa n.k.
- Apende kula vizuri. Jamani mimi napenda kula vizuri
- Ajue kupangilia bajeti na kudili vizuri na pesa
- Awe anaweza kunishauri
- Mimi ni mkristo, yeye awe mkristo au muislamu mie fresh tu
- Awe mweupe, kama sio mweupe basi awe na msambwanda/kalio mubashara, kama nalo hana basi angalau awe amesoma, kama hajasoma basi awe angalau na ajira, kama hana basi kwao wawe vizuri naamini Mungu hamnyimi mtu vyote.
acha ulimbukeni ww ,inaelekea muhaya ww,unatangaza mishahara yko humu ni mahala sahihii
Hahahahaa!Wanaume tuna mbinu aina kwa aina za kuwaingiza walimbwende kingi.Kuna MTU atalia sasa hivi.Utasikia tu...mamaaa weee... huyu kaka muongooo!!!JF bhana, umeulizwa mshahara mkuu?
Ushauri wako wa kipumbavu kabisaaa,hao walimu wanaolipwa 500000 mbona wanaoa na wanaishi tu na wenza wao,kwanza ashakwambia ana dili zake zingine zinamuingizia hela zaidi ya hiyo 1.2 eti asioe kisa hela haitosh,we hufai kuwa mshauri hata wa watoto zakojoseverest nimekulindia nafasi yako, uje ili tumshauri pamoja
dogo hiyo hela ndogo sana na sana..
gross ya 1.2m net yake ni kama laki 8 na nusu hivi..
tena hapo bodi ya mikopo kama hawakudai.
haya sas tuchekeche laki 8 hiyo ulipe kodi, nauli, msosi, umeme, maji etc..
hiyo hela hapo ni kama unaingiza elfu 27 kwa siku
ambapo hata muuza chips au muosha magari na kindoo tu anakuzidi..
nakushauri swala la kuoa au kuishi na mwanamke weka pembeni kabisa.. fanya saving kisha invest na kuinvest na kuinvest tena.. after 5 yrs ndio usake kimwana..
kipindi hiki tafuta girlfriend tu uwe mnakutana weekend..
Tangazo la biashara hiloNi aje makamanda, I hope mko poa.
Mwenzenu nilijaribu maisha baada ya kiajira changu cha kwanza lakini ikabidi nirudi home kwanza nikajipange upya, hatimae nimepata kazi ya mshahara ambayo kwa kuanzia maisha ya kifamilia sio mbaya (1.2M take home), pia nina dili kama 2 hivi zitakazonilipa mara 2 au 3 ya huu mshahara wa kazini baada ya miezi michache. Mpango wangu ni kuchukua double room ya self nzuri mwisho wa mwezi.
Kwahiyo natafuta mchumba/mke tuanze maisha from scratch, yaani kama ni chini tulale coz najua nikishachukua nyumba ntalala chini mwezi mmoja. Nataka mwanamke huyu aje kunisaidia kumanage mambo ya finance na kupangilia mji wetu vizuri, ambae atanisapoti wakati mimi naendelea na mishe zangu.
Sifa zake:
Ni PM tuchat chat ndio tupeane namba, kisha tukutane eneo la wazi k.v. mgahawa n.k.
- Apende kula vizuri. Jamani mimi napenda kula vizuri
- Ajue kupangilia bajeti na kudili vizuri na pesa
- Awe anaweza kunishauri
- Mimi ni mkristo, yeye awe mkristo au muislamu mie fresh tu
- Awe mweupe, kama sio mweupe basi awe na msambwanda/kalio mubashara, kama nalo hana basi angalau awe amesoma, kama hajasoma basi awe angalau na ajira, kama hana basi kwao wawe vizuri naamini Mungu hamnyimi mtu vyote.