Nimepata ajira ya mshahara wa milioni 1.2, natafuta mke tuanze maisha

Nimepata ajira ya mshahara wa milioni 1.2, natafuta mke tuanze maisha

sasa hapa ngoja nikae chini nijumlishe na kutoa .nigawanye nizidishe .hili zali sio la nchi hii yaani.
Wewe nenda taratibu ,,,,HUYU ndo yule husna the boss lady ......atakukata manyonyo hayo apeleke kuzimu ..


HUYU haeleweki ,,naomba ukitulize baby.
 
Haya ndiyo madhara ya kukaa muda mrefu bila ajira, ila kulingana na halmashauri ya kichwa chako your OK.
 
Ni aje makamanda, I hope mko poa.

Mwenzenu nilijaribu maisha baada ya kiajira changu cha kwanza lakini ikabidi nirudi home kwanza nikajipange upya, hatimae nimepata kazi ya mshahara ambayo kwa kuanzia maisha ya kifamilia sio mbaya (1.2M take home), pia nina dili kama 2 hivi zitakazonilipa mara 2 au 3 ya huu mshahara wa kazini baada ya miezi michache. Mpango wangu ni kuchukua double room ya self nzuri mwisho wa mwezi.

Kwahiyo natafuta mchumba/mke tuanze maisha from scratch, yaani kama ni chini tulale coz najua nikishachukua nyumba ntalala chini mwezi mmoja. Nataka mwanamke huyu aje kunisaidia kumanage mambo ya finance na kupangilia mji wetu vizuri, ambae atanisapoti wakati mimi naendelea na mishe zangu.

Sifa zake:
  • Apende kula vizuri. Jamani mimi napenda kula vizuri
  • Ajue kupangilia bajeti na kudili vizuri na pesa
  • Awe anaweza kunishauri
  • Mimi ni mkristo, yeye awe mkristo au muislamu mie fresh tu
  • Awe mweupe, kama sio mweupe basi awe na msambwanda/kalio mubashara, kama nalo hana basi angalau awe amesoma, kama hajasoma basi awe angalau na ajira, kama hana basi kwao wawe vizuri naamini Mungu hamnyimi mtu vyote.
Ni PM tuchat chat ndio tupeane namba, kisha tukutane eneo la wazi k.v. mgahawa n.k.
Husna the boss lad sasa hivi unatumia ID gani?
 
acha ulimbukeni ww ,inaelekea muhaya ww,unatangaza mishahara yko humu ni mahala sahihii
 
Ni aje makamanda, I hope mko poa.

Mwenzenu nilijaribu maisha baada ya kiajira changu cha kwanza lakini ikabidi nirudi home kwanza nikajipange upya, hatimae nimepata kazi ya mshahara ambayo kwa kuanzia maisha ya kifamilia sio mbaya (1.2M take home), pia nina dili kama 2 hivi zitakazonilipa mara 2 au 3 ya huu mshahara wa kazini baada ya miezi michache. Mpango wangu ni kuchukua double room ya self nzuri mwisho wa mwezi.

Kwahiyo natafuta mchumba/mke tuanze maisha from scratch, yaani kama ni chini tulale coz najua nikishachukua nyumba ntalala chini mwezi mmoja. Nataka mwanamke huyu aje kunisaidia kumanage mambo ya finance na kupangilia mji wetu vizuri, ambae atanisapoti wakati mimi naendelea na mishe zangu.

Sifa zake:
  • Apende kula vizuri. Jamani mimi napenda kula vizuri
  • Ajue kupangilia bajeti na kudili vizuri na pesa
  • Awe anaweza kunishauri
  • Mimi ni mkristo, yeye awe mkristo au muislamu mie fresh tu
  • Awe mweupe, kama sio mweupe basi awe na msambwanda/kalio mubashara, kama nalo hana basi angalau awe amesoma, kama hajasoma basi awe angalau na ajira, kama hana basi kwao wawe vizuri naamini Mungu hamnyimi mtu vyote.
Ni PM tuchat chat ndio tupeane namba, kisha tukutane eneo la wazi k.v. mgahawa n.k.


Oa kwa nafasi, na utulivu, uwezo wa kuoa usikupe excitement ya kuoa ukakurupuka ukaaribu, na unapooa hutakiwi kusema una kipato gani kwa hatua za awali, leo ni nini? uwavutie au uonekane au nini, Kwenye issue ya kutafuta mke awali ya mwanzo kama upo serious, maswala ya hela na kipato sio ya kusema kabisa! Labda kama unatafuta kitu kingine na sio pesa!
 
joseverest nimekulindia nafasi yako, uje ili tumshauri pamoja


dogo hiyo hela ndogo sana na sana..


gross ya 1.2m net yake ni kama laki 8 na nusu hivi..

tena hapo bodi ya mikopo kama hawakudai.

haya sas tuchekeche laki 8 hiyo ulipe kodi, nauli, msosi, umeme, maji etc..


hiyo hela hapo ni kama unaingiza elfu 27 kwa siku
ambapo hata muuza chips au muosha magari na kindoo tu anakuzidi..

nakushauri swala la kuoa au kuishi na mwanamke weka pembeni kabisa.. fanya saving kisha invest na kuinvest na kuinvest tena.. after 5 yrs ndio usake kimwana..

kipindi hiki tafuta girlfriend tu uwe mnakutana weekend..
Ushauri wako wa kipumbavu kabisaaa,hao walimu wanaolipwa 500000 mbona wanaoa na wanaishi tu na wenza wao,kwanza ashakwambia ana dili zake zingine zinamuingizia hela zaidi ya hiyo 1.2 eti asioe kisa hela haitosh,we hufai kuwa mshauri hata wa watoto zako
 
Ni aje makamanda, I hope mko poa.

Mwenzenu nilijaribu maisha baada ya kiajira changu cha kwanza lakini ikabidi nirudi home kwanza nikajipange upya, hatimae nimepata kazi ya mshahara ambayo kwa kuanzia maisha ya kifamilia sio mbaya (1.2M take home), pia nina dili kama 2 hivi zitakazonilipa mara 2 au 3 ya huu mshahara wa kazini baada ya miezi michache. Mpango wangu ni kuchukua double room ya self nzuri mwisho wa mwezi.

Kwahiyo natafuta mchumba/mke tuanze maisha from scratch, yaani kama ni chini tulale coz najua nikishachukua nyumba ntalala chini mwezi mmoja. Nataka mwanamke huyu aje kunisaidia kumanage mambo ya finance na kupangilia mji wetu vizuri, ambae atanisapoti wakati mimi naendelea na mishe zangu.

Sifa zake:
  • Apende kula vizuri. Jamani mimi napenda kula vizuri
  • Ajue kupangilia bajeti na kudili vizuri na pesa
  • Awe anaweza kunishauri
  • Mimi ni mkristo, yeye awe mkristo au muislamu mie fresh tu
  • Awe mweupe, kama sio mweupe basi awe na msambwanda/kalio mubashara, kama nalo hana basi angalau awe amesoma, kama hajasoma basi awe angalau na ajira, kama hana basi kwao wawe vizuri naamini Mungu hamnyimi mtu vyote.
Ni PM tuchat chat ndio tupeane namba, kisha tukutane eneo la wazi k.v. mgahawa n.k.
Tangazo la biashara hilo
 
Huna lolote zaidi ya kutaka kuwabadilisha kama nguo, otherwise bado una utoto kichwani regardless umri wako
 
Erick_Otieno, i hope hii itakuwa kazi ya kwanza fresh from school! net pay ya 1.2mil!? mshahara wangu wa mwaka 2003! shame on u! how if u can get 8.5mil per month as a net pay! hahahah!
 
Back
Top Bottom