Nimepata au nimepatikana?

Nimepata au nimepatikana?

nimechafukwa

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2013
Posts
288
Reaction score
230
Wadau mwaka 2017 nilifunga ndoa na mpenzi wangu F niliyedumu naye kwenye mahusiano kwa miaka mitatu, Nadhani sikufanikiwa kumjua kwa undani kiivyo! Jambo linalonitatiza sana ni ishu ya pesa, mke wangu hawezi kutoa hata 100 kununua chumvi, mambo yote ya chakula, Ada,Kodi ya pango na matumizi yote nagaramia mimi, mke wangu pesa yake anaiweka kwenye investments tu, utasikia kanunua kiwanja, kapanua biashara yake, kaanza ujenzi n.k.

Kinachoniuma mimi pesa yangu yote inaenda kwenye matumizi ya familia na yakwako inaenda kwenye maendeleo ya familia. Sasa kwa marafiki niliowashirikisha situation yangu wengi wananiambia umepata mke mwenye akili ya maisha, wengine wananiambia Nimekwisha!.. Nawasilisha naomba mawazo yenu (Tuepuke matusi na kejeli)

1643952933668.png
 
Wadau mwaka 2017 nilifunga ndoa na mpenzi wangu F niliyedumu naye kwenye mahusiano kwa miaka mitatu, Nadhani sikufanikiwa kumjua kwa undani kiivyo! Jambo linalonitatiza sana ni ishu ya pesa, mke wangu hawezi kutoa hata 100 kununua chumvi, mambo yote ya chakula, Ada,Kodi ya pango na matumizi yote nagaramia mm, mke wangu pesa yake anaiweka kwenye investments tu, utasikia kanunua kiwanja, kapanua biashara yake, kaanza ujenzi n.k..

Kinachoniuma mm pesa yangu yote naenda kwenye matumizi ya familia na yakwako naenda kwenye maendeleo ya familia

Sasa kwa marafiki niliowashirikisha situation yangu wengi wananiambia umepata mke mwenye akili ya maisha,wengine wananiambia Nimekwisha!.. Nawasilisha naomba mawazo yenu (Tuepuke matusi na kejeli)
Hoyo ndiyo shida ya kuoa huku ukitarajia pesa ya mkeo.
Majukumu ulijipanga kuyabeba? Au ulidhani ndoa ni kucheza kwaito???
Pesa ya mke ni ziada sio ya kuitolea macho.
Tena shukueu anainvest.
Na wewe utafute pesa sasa u-invest
 
Mpaka umekuja kuomba ushauri huku hakika unakereka Boss kwani hivyo viwanja anavyonunua au hizo nyumba anazojenga anaandika jina la nani kama ni lake huyo mke wako ni mbinafsi sana.

Ni vizuri ukamwambia ukweli kutokana na ugumu wa maisha hebu tusaidizane baadhi ya majukumu hapa ndani tuachane na kasumba za zamani eti hela ya mwanamke ni ya kwake tu who said that hizo ni dalili za ukorofi wa wazi.
 
Wadau mwaka 2017 nilifunga ndoa na mpenzi wangu F niliyedumu naye kwenye mahusiano kwa miaka mitatu, Nadhani sikufanikiwa kumjua kwa undani kiivyo! Jambo linalonitatiza sana ni ishu ya pesa, mke wangu hawezi kutoa hata 100 kununua chumvi, mambo yote ya chakula, Ada,Kodi ya pango na matumizi yote nagaramia mimi, mke wangu pesa yake anaiweka kwenye investments tu, utasikia kanunua kiwanja, kapanua biashara yake, kaanza ujenzi n.k.

Kinachoniuma mimi pesa yangu yote inaenda kwenye matumizi ya familia na yakwako inaenda kwenye maendeleo ya familia. Sasa kwa marafiki niliowashirikisha situation yangu wengi wananiambia umepata mke mwenye akili ya maisha, wengine wananiambia Nimekwisha!.. Nawasilisha naomba mawazo yenu (Tuepuke matusi na kejeli)

Wrseaerrereaqe3wrwdew

Sent from my SM-T285 using JamiiForums mobile app
 
Kwanza
Sioni mantiki ya unacholalamika hapa,

Naweza kusema
Kwako wewe UMEPATA,
Ila kwa uyo mdada yeye AMEPATIKANA.

Japo Ni stori ya upande mmoja,
Ila unaonekana Unamkosea sana mkeo.
Unaonekana uyajui Wala hutekelezi wajibu wako Kama baba na kichwa wa familia.

Huenda keshaona huwazi future upo upo TU umezubaa ndo maana kajiongeza kufanya investment. Yaani ile kaepusha kupigizana kelele na wewe kila mara.
Kaamua kuvaa viatu vyako.

Nnachoweza kukushauri,
Peleka mbuzi dume mkubwa sana ukweni ukatoe shukrani, TRUST ME Wamekupatia MKE Bora kabisa kwa kizazi hiki Cha Karne ya 21 tulichonacho[emoji4]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kingine mtoa mada,
Mwanaume hutakiwi kabisa kukaa kuipigia hesabu Ela ya MKE wako.

Kwa Bahat mbaya mm sijaoa MKE mfanyakazi,
ila laiti ningekua na mke mfanyakaz basi ingenisaidia kupunguza mzigo wa request za pesa zinazotoka kwenda ukweni. (Aisee Napasuka balaa uko ukweni)

Vitu vingine vidg vidg najua Ela ya wife ingesolve Moja kwa Moja uko ukweni, pamoja na mahitaji yake binafs madogo madogo.

Sisi Wanaume tuliooa mama wa nyumbani huwa always tunapasuka sio chini ya Mara tatu.
-ukweni,
-kwetu tulikozaliwa,
-kwenye familia yangu.
-hapo ujaongeza na kwenye michepuko,bar n.k

Ila hatulalamiki Wala kuuliza Ela ya wife imefanya nini, Tunapambana tu kiume kutekeleza wajibu wetu.

Kwaiyo mkuu,
Hebu acha kabisa kuipigia hesabu Ela ya mkeo, hujaoa ili kutafuta unafuu wa maisha. UTASABABISHA MIGOGORO

Usitake kugeuza ndoa Kama daraja la kupunguzia makali ya maisha, Tekeleza wajibu wako. Ikishindikana mshirikishe mwenzio mwende pamoja.

Hatma ya familia yako iko mikononi mwako

Kama Mwanaume Tekeleza wajibu wako ipasavyo,
Achana na tabia ya kumbebesha mdada wa watu majukum ya kiume.

Mwisho wa siku atapungukiwa na nguvu za kike kesho uje Tena hapa kulaumu unanyimwa penzi au mkeo Ni mvivu kitandani, maana unamchosha Sana kiukweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadau mwaka 2017 nilifunga ndoa na mpenzi wangu F niliyedumu naye kwenye mahusiano kwa miaka mitatu, Nadhani sikufanikiwa kumjua kwa undani kiivyo! Jambo linalonitatiza sana ni ishu ya pesa, mke wangu hawezi kutoa hata 100 kununua chumvi, mambo yote ya chakula, Ada,Kodi ya pango na matumizi yote nagaramia mimi, mke wangu pesa yake anaiweka kwenye investments tu, utasikia kanunua kiwanja, kapanua biashara yake, kaanza ujenzi n.k.

Kinachoniuma mimi pesa yangu yote inaenda kwenye matumizi ya familia na yakwako inaenda kwenye maendeleo ya familia. Sasa kwa marafiki niliowashirikisha situation yangu wengi wananiambia umepata mke mwenye akili ya maisha, wengine wananiambia Nimekwisha!.. Nawasilisha naomba mawazo yenu (Tuepuke matusi na kejeli)

Wanawake ni watu wabinafsi sana, kuishi tunaishi sote lakini gharama za maisha nigharamie mie how??? Hivi wanawake washawahi jiuliza, ukiachana na sex (ambayo wote tunatamuka) wana mchango gani katika maisha ya ndoa????

Sent from my SM-G935V using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom