All the bestAt first tulikua marafiki....so sikuwahi kuomba hela ila nilikua namuomba ushauri sana.... Coz wote ni business minded na yeye kanitangulia vitu vingi.
Lakini kuanzia march 2017 alipotangaza nia na akatenda kweli...... Niseme tuu anayajua majukumu yake.....
Ww njoo kwangu ila watu wasijue hahhhNgoja nitafute kimya kimya na mm.ila ugumu ni pale kwenye Id fake.
Sielewi kwa kweli Dada yng mpendwa,Endelea kuvuta subira na kua na tumaini atakuja
Labda,maana nashirilisha mpaka watu wazoma.Kweli miaka hii ni kazi kupata mwenza kwa pande zote mbili.Amekaribia[emoji4] just stay still and think positively
Mie bado ndio nakungojaNa ww vp ushawahiwa?
Try to relax kaka mpendwa huku ukimwomba Mungu akukutanishe nae.Sielewi kwa kweli Dada yng mpendwa,
Kuhusu kipato,si kwamba nipo chini sana na wala sipo juu.Ndo kwanza najiweka vizuri ktk maisha.
Ndo maana naamini muda umefika ili twende sawa,na umri pia unakimbia.
Asante,pengine itatimiaTry to relax kaka mpendwa huku ukimwomba Mungu akukutanishe nae.
Wala usiwe na haraka
Ok ahsante!!
Waooo!!Mie nimekumiss Sana "mum"....my God..but poleni kwa majanga hapo Arusha..pia poleni kwa mvua huko home..bcoz nasikia mvua Ni kila kona ya nchi!Kama nimekumiss vile
Hii mvua ni kama imejiunga na kifurushi cha halichachi,imeamua kweli.Waooo!!Mie nimekumiss Sana "mum"....my God..but poleni kwa majanga hapo Arusha..pia poleni kwa mvua huko home..bcoz nasikia mvua Ni kila kona ya nchi!
Duh!!huko Dar watamsingizia bwana DAUDI BASHITE!Hii mvua ni kama imejiunga na kifurushi cha halichachi,imeamua kweli.
Pole zaidi kwa watu wa daslam
Mtoto mzuri kama wewe naanza kukutengaUtanionaje wakati umenitenga best[emoji17]
Ha haa hawashindwiDuh!!huko Dar watamsingizia bwana DAUDI BASHITE!
Basi tutaftane yakheeMtoto mzuri kama wewe naanza kukutenga
Hapo patamuuuBasi tutaftane yakhee