Nimepata bila kuomba, Asante love connect, Asante JF

All the best
 
Endelea kuvuta subira na kua na tumaini atakuja
Sielewi kwa kweli Dada yng mpendwa,
Kuhusu kipato,si kwamba nipo chini sana na wala sipo juu.Ndo kwanza najiweka vizuri ktk maisha.
Ndo maana naamini muda umefika ili twende sawa,na umri pia unakimbia.
 
Sielewi kwa kweli Dada yng mpendwa,
Kuhusu kipato,si kwamba nipo chini sana na wala sipo juu.Ndo kwanza najiweka vizuri ktk maisha.
Ndo maana naamini muda umefika ili twende sawa,na umri pia unakimbia.
Try to relax kaka mpendwa huku ukimwomba Mungu akukutanishe nae.

Wala usiwe na haraka
 
Hongera sana mzidi kuomba tu ili malengo yatimie na imani ipo kuwa yatatimia soon mtupe mapema tu rangi za suti.

Ushauri tu Mods wangeweka kipengele cha Marital status-single/married kiwe OPEN kabisa

What i believe mke/mume mwema anapatikana popote pale iwe shambani,barabarani,shuleni,vyuoni kotekote la msingi ni UPENDO TUU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…