#COVID19 Nimepata Chanjo ya Corona nchini Marekani, puuzeni uzushi

Ninyi ndio Wachawi dhidi ya Umma,mshaurini Mwanamalundi kwa staha ambalo chanjo kwa raia wake
Chanjo bado zipo katika hali ya majaribio kwa wakati huu hatuwezi kusema si salama au kusifu mafanikio ya hizo chanjo,ni mapema bado. Sasa sijui kwanini tunamshinikiza rais aamue kukubali chanjo haraka haraka ikiwa mwenyewe ameona kuna haja kusubiri kwanza. Kwanini uamuzi wake uonekane si sahihi na kuonekana uamuzi ni mmoja tu wa kukubali haraka kuagiza chanjo?
 
Sasa sijui kwanini tunamshinikiza rais aamue kukubali chanjo haraka haraka ikiwa mwenyewe ameona kuna haja kusubiri
Anasubiri nini kweni sisi ni Ng'ombe wake?...sisi ni raia tunaolipa kodi hiyo kodi yetu anunulie chanjo bhana
 
Endelea kuhesabu na kulinganisha vifo pia
tunasubili side effects kwa wakenya kwanza wasipokufa na sisi tutaagiza ila kwasasa acha kwanza wakenya wawe panya wa majaribio
 
Yes nahisi watu wenye maisha yakurelax haka kagonjwa kanawapenda mno..!! Ila kama una pumu ili tatizo..!! Lakini ndo kusema tulioumwa phase 1 tayar tuna herd imunite ya kagonjwa haka au?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna haja ya kuendelea kujifukiza
 
Mkuu hiyo phase 1 ulihitimisha vp kuwa ni corona maana hizo dalili hutumika kwa magonjwa mengine pia si corona tu?
 
Kwa hiyo sasa hivi hamuogopi tena maambukizi ya corona! Yaani hamna haja ya kutumia barakoa wala kunawa mikono kama njiamojawapo ya kujikinga maambukizi haya ya covid19!?

Nasubiri majibu.
 
Kwani lazima kila mtu achanjwe?! Hata chanjo ikiletwa si lazima kila mtu achanjwe. Ukijisikia kuchanjwa sawa,asietaka sawa.
Dawa au chanjo isio ya lazima siitaki mwilini mwangu.
Watani
 
Mabeberu wanataka kutubadilisha DNA afu tuwe ngombe ili waje kuchimba madini yetu!! Sisi hatuchanji ... ni mwendo wa nyungu mbele kwa mbele.

Afu haya ma chanjo chanjo haya yanaletaniza Corona.

Sasa uwe ngombe mara ya pili inawezekana vipi. Hapo ulipo huna tofauti na huyo ngombe kwa akili hizo
 
Mkuu hiyo phase 1 ulihitimisha vp kuwa ni corona maana hizo dalili hutumika kwa magonjwa mengine pia si corona tu?
Nimeeeleza hapo kuwa japokuwa sikupima ila kwa mafua ya corona yalikuwa tofauti na mafua ya kawaida..!! Yalikuwa mepesi mno, yalikuwa yanatiririka tu na sometime unajihisi hauna mafua ila unakuta yanatoka.. ila shukrani za pekee ziende kwa Mamaangu kwakunipa ushauri wa dawa tajwa hapo pamoja na Mkewangu kuniandalia kila siku bila kuchoka kuhakikisha mumewa nakuwa sawa..!! Pia mamalishe wa Kariakoo nao waliuza sana chai ya tangawizi kipindi kile.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anasubiri nini kweni sisi ni Ng'ombe wake?...sisi ni raia tunaolipa kodi hiyo kodi yetu anunulie chanjo bhana
Nauliza hivi kwanini wewe unaona uamuzi ni kuagiza haraka haraka hizo chanjo hali ya kuwa bado zipo kwenye majaribio? kwanini umeng'ang'ania hizo chanjo hali ya kuwa bado hazijajulikana hata madhara yake?
 
Mimi nimekuelewa ndio maana nakuuliza kwanini ulifikiria kuwa itakuwa ni corona kwa hizo dalili ambazo zinafanana na magonjwa mengine pia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…