Mimi nilishaugua na nikapona mkuu labda wewe immunity yako iko chini ndiyo maana unapata shida. Kunywa vidonge vya zinc na limao sana au NIMRCAFHujui ulisemalo, usiombe yakukute
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nilishaugua na nikapona mkuu labda wewe immunity yako iko chini ndiyo maana unapata shida. Kunywa vidonge vya zinc na limao sana au NIMRCAFHujui ulisemalo, usiombe yakukute
Splendid.Nimefanikiwa kupata chanjo ya Corona hapa napoishi na kufanya kazi Dallas, Texas. Nimepata dose mbili za sindano kwenye bega ya kwanza tarehe 5 mwezi wa pili na ya pili tarehe 4 mwezi wa tatu. Nimepata chanjo kutoka kampuni ya Moderna. Nilivimba kidogo kwenye bega kwa mara zote lakini sijapata homa kama watu wengine wanapata homa kwenye sindano ya pili.
Chanjo ni muhimu na zinaokoa maisha hasa kwa wale wenye au ambao waliwahi kuwa na pumu, kisukari, wazee, wenye magojwa ya moyo na wamegundua pia wenye type A ya damu nao wanaumwa sana wakipata corona. Asilimia 90% ya watu wakipata hawazidiwi hivyo inawezekana hata wewe umeshapata Corona bila kujua. Lakini baada ya siku 90 unaweza kupata tena na inaweza kuwa mbaya zaidi maana mwili unakuwa hauna nguvu sana. Kwasababu kirusi cha corona kimekaa zaidi ya mwaka kinabadilika ili kiweze kuingia kirahisi kwenye miili yetu hii kitaalamu wanaita variant. Hivyo mpaka sasa kuna variant ya South Africa, England, Brazil na ili ya China. Ya South Africa ndiyo kali kuliko zote na ndiyo imeingia Tanzania kwa sasa na kusababisha watu kufa na kuumwa sana kulinganisha na ile ya mwanzo.
Kwenye kinga kuna kinga nyingi sana cha maana ni upatikanaji, usalama na chanjo kufanya kazi. Kuna vipimo vikubwa viwili vya kuzingatia cha kwanza ni kinga ya chanjo yaani ambayo inazuia mtu kupata Corona lakini cha pili je mtu akipata corona ambaye ana chanjo ataumwa kiasi cha kulazwa au kuzidiwa?. Hii ya south Africa inaonyesha kinga haifanyi kazi vizuri hasa kwa hii chanjo ambayo nchi za Africa inauziwa za Oxford Astrazenica au AZD1222. Hawajatoa data kuonyesha je mtu akiumwa inakuwaje au kinga inakuwaje. Lakini chanjo ya Johnson and Johnson imeonyesha inakinga ya corona ya south Africa kwa asilimia 57% lakini hata ukipata corona ni karibu 100% hautazidiwa. Lakini mpaka sasa HAKUNA MTU ALIYEPATA CHANJO YEYOTE POPOTE NA KUUMWA NA KUZIDIWA KIASI CHA KULAZWA. Hii ina maana gani ni kwamba inawezekana kinga ikawa ndogo lakini watu nhawatapoteza maisha ambao wana chanjo
Tanzania wanaogopa chanjo kama hii niliyopewa kwasababu inatumia technologia ya mRNA ambayo ni ya DNA na wanaogopa eti DNA zetu wazungu watabadilisha. Wakati nimeenda kupata chanjo kulikuwa na wazungu wengi wamepewa chanjo kama yangu sasa sijui hizi habari ni za wapi?!!!. Lakini kuna chanjo ambazo zina technologia kama chanjo za zamani mfano Sputnik V ambayo ni ya Urusi inatumia technologia ya zamani ya chanjo na sasa wamefanya utafiti unaonyesha inakinga aslimia 90%. Lakini hii ina order nyingi hasa huko South America itachukua muda kuipata.
Hivyo ushauri wangu ni kwa serikali kutumia chanjo yeyote kasoro ile ya China ambayo haina data ambazo watu wamezionana kusema zipo sawa. Lakini hii wenzetu wa Kenya, Nigeria, Ghana wamepata chanjo yenyewe inawezekana kinga ni ndogo kwa hii ya south Africa lakini ukipata chanjo corona itakuwa kama mafua ya kawaida haitakuuwa kama sasa hivi. Hivyo nashauri bado ni bora sana kuliko kukaa na kutokufanya maamuzi yeyote. Tukiweza kuweka order hii ya J&J ni zuri kwasababu ni sindano mmoja na inahitaji jokofu la kawaidia kuifadhi.
Tatizo serikali inaweza kusema wataalamu wanachukungaza lakini mpaka sasa hakuna habari yeyote uchunguzi umefika wapi, nani yupo kwenye hiyo team inawezekana ni maneno tu.
Leo jion ndo nimeanza hisi kupona..pilipili nimeiskia ulimini niogopa mno hii kitu kwasasaDuh! Pole sana ulichungulia kaburi.
Pole sana Wangari Maathai Mimi ni spana mkononi yaani naishi kwa hofu sanaUnatesa mno...nililia...nilikua na maumiv makali sana ya mwili.kwa siku 4 mfululizo ..maumv kama umeanguka toka juu ...misuli inauma mno...na vichomi mafua makali na kukoa kikohiz kikavu.. nilifka hosp nikahis labda ndo nimeanza kusumbuliwa sukari.. nilijua sukari iko 0..hata kukaa kwa kiti huwez nilimwambia dk chek na ngoma nianze mara 1 dose ..majibu yanakuja toka jionii...dk ananiambia una corona...yaan ulimi ni kama unajikata na ubongo husikii kitu ..nilikua nabugia chumv nifeel wapi had leo nasugulia ulimi pilipili kama inasense hakuna kitu...huez simama even 4min .miguu inauma na kutetemeka mno..misuli ya shingon inauma mno ..ah hapa a corona naiheshm
Ile kitu ni balaa, maumivu yake utafikiri umegongwa na treni [emoji23]. Yani unasikia maumivu kutoka utosini mpaka unyayoni [emoji23] hakuna sehemu ya mwili ambayo haiumi. Ukitembea ukapiga hatua ni maumivu ukisema ukae ni maumivu kiufupi ni maumivu left and right
Shukran rafikiPole sana Wangari Maathai
Leo jion ndo nimeanza hisi kupona..pilipili nimeiskia ulimini niogopa mno hii kitu kwasasa
Barakoa nilivaa niliposafiri..ss nilipougua nikawa nahis kufa..naogopa hata kukwambia ..nilikua naparamia dirisha uso nautoa nje ..sijavaa...ningekufa mazimaPole sana lakini ulikuwa unachukua tahadhari zote ikiwemo kuvaa barakoa? Juzi Jumamosi nilienda mall nilipoingia ndani nilishangaa na kuogopa sana kwa umati watu uliokuwemo mle ndani. Pamoja na kuwa nilikuwa nimevaa barakoa lakini nilikosa amani kabisa nikaondoka baada ya dakika chache tu.
Asante mamyPole sana kwa yaliyokukuta mkuu!
Hujafa tu ili tuweke Tanzia hapa JF. Wahi basi unatuchelewesha kutangaza Tanzia mkuu.Pole sana Wangari Maathai Mimi ni spana mkononi yaani naishi kwa hofu sana
Barakoa nilivaa niliposafiri..ss nilipougua nikawa nahis kufa..naogopa hata kukwambia ..nilikua naparamia dirisha uso nautoa nje ..sijavaa...ningekufa mazima
Nilikua nakata pilipili nasugua ulimi sisikii kitu...nimeteseka sana...nilikua nahis kama natafuna toilet paper ..nikishika sm inaanguka kwaajil ya kutetemeka...alafu mume akawa ananiogopa mno ...hahaa dada wa kazi amenipambania mno.. .ajabu na madk hawakua na barakoaPole mkuu. Nina mtu wangu wa karibu aliugua naye alikuwa anaelezea hivyo hivyo. Alikuwa anasema akiona chakula hakitaki kabisa halafu mtu akikupa chakula ukala bila kuangalia huwezi kujua ni chakula gani kwa sababu husikii ladha. Alisema hajaugua namna hiyo tangu azaliwe, haifikii hata ile malaria kali kabisa.
Unachanja Nini? Au unachanja Mbuga?Nasubiri mda ukifika nachanja tu
Sasa mwanangu alikua ananifungua nguo ananipepea na gazeti..hahaa...hapana jaman..kweoi lazima wazee wetu lazima wafe tu...Dk ameniambia sasa imagine ww ( mm)ni mzima je yule aliyekua ana sukari au hiv au presha .hafurukuti siku 3 kwisha habari yake..jamani mm naadabu zote kwasasaInakuwa hivyo kwa kuwa mwilini oxygen imepungua hivyo unaona kama unakabwa vile hivyo unahitaji oxygen zaidi.
😀 ili apunguze mawazoHapa kuna mtu anapinga chanjo halafu anachakata papuchi bila kinga.
Hatari sana.
Naunga hoja mkuu..hata cancer bora kbs...Bora Ngoma tiloizoea inakupeleka mdogo mdogo
Wewe bodaboda inaweza kukuzoa na kukubwaga mtaroni halafu wewe ndio Tanzia itakuja humuHujafa tu ili tuweke Tanzia hapa JF. Wahi basi unatuchelewesha kutangaza Tanzia mkuu.
[emoji23] Duh! Wewe kweli ilikutenda vibayaSasa ww umenielewa..sasa mm ilipanda had kjchwan nikawa kama naweweseka..twna naweweseka kimatendo[emoji1787]..nimelala naugulia maumv naamka navaa naingia kwa gari nandoka siag mtu..nikifika sehwm miguu inakataa kbs hata kukanyaga brek sijui kukanyaga mafuta inakataa inatetemeka..najikura nasimama road naanza kulia..unaulizwa unaenda wap namwambia boda nipeleke hosp naumwa .hahaa...yaan nilikua naweweseka mno..nimefanya twice..nyingune nikaenda bar namwambia mhudumu anipelek hosp naumwa[emoji1787]..hapo nikaagiza nyama hata 1 hailiki...yaan mm imenitenda vby sana shenz zake