Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo chanjo imekusaidia nn mkuu?
SawaNimefanikiwa kupata chanjo ya Corona hapa napoishi na kufanya kazi Dallas, Texas. Nimepata dose mbili za sindano kwenye bega ya kwanza tarehe 5 mwezi wa pili na ya pili tarehe 4 mwezi wa tatu. Nimepata chanjo kutoka kampuni ya Moderna. Nilivimba kidogo kwenye bega kwa mara zote lakini sijapata homa kama watu wengine wanapata homa kwenye sindano ya pili.
Chanjo ni muhimu na zinaokoa maisha hasa kwa wale wenye au ambao waliwahi kuwa na pumu, kisukari, wazee, wenye magojwa ya moyo na wamegundua pia wenye type A ya damu nao wanaumwa sana wakipata corona. Asilimia 90% ya watu wakipata hawazidiwi hivyo inawezekana hata wewe umeshapata Corona bila kujua. Lakini baada ya siku 90 unaweza kupata tena na inaweza kuwa mbaya zaidi maana mwili unakuwa hauna nguvu sana. Kwasababu kirusi cha corona kimekaa zaidi ya mwaka kinabadilika ili kiweze kuingia kirahisi kwenye miili yetu hii kitaalamu wanaita variant. Hivyo mpaka sasa kuna variant ya South Africa, England, Brazil na ili ya China. Ya South Africa ndiyo kali kuliko zote na ndiyo imeingia Tanzania kwa sasa na kusababisha watu kufa na kuumwa sana kulinganisha na ile ya mwanzo.
Kwenye kinga kuna kinga nyingi sana cha maana ni upatikanaji, usalama na chanjo kufanya kazi. Kuna vipimo vikubwa viwili vya kuzingatia cha kwanza ni kinga ya chanjo yaani ambayo inazuia mtu kupata Corona lakini cha pili je mtu akipata corona ambaye ana chanjo ataumwa kiasi cha kulazwa au kuzidiwa?. Hii ya south Africa inaonyesha kinga haifanyi kazi vizuri hasa kwa hii chanjo ambayo nchi za Africa inauziwa za Oxford Astrazenica au AZD1222. Hawajatoa data kuonyesha je mtu akiumwa inakuwaje au kinga inakuwaje. Lakini chanjo ya Johnson and Johnson imeonyesha inakinga ya corona ya south Africa kwa asilimia 57% lakini hata ukipata corona ni karibu 100% hautazidiwa. Lakini mpaka sasa HAKUNA MTU ALIYEPATA CHANJO YEYOTE POPOTE NA KUUMWA NA KUZIDIWA KIASI CHA KULAZWA. Hii ina maana gani ni kwamba inawezekana kinga ikawa ndogo lakini watu nhawatapoteza maisha ambao wana chanjo
Tanzania wanaogopa chanjo kama hii niliyopewa kwasababu inatumia technologia ya mRNA ambayo ni ya DNA na wanaogopa eti DNA zetu wazungu watabadilisha. Wakati nimeenda kupata chanjo kulikuwa na wazungu wengi wamepewa chanjo kama yangu sasa sijui hizi habari ni za wapi?!!!. Lakini kuna chanjo ambazo zina technologia kama chanjo za zamani mfano Sputnik V ambayo ni ya Urusi inatumia technologia ya zamani ya chanjo na sasa wamefanya utafiti unaonyesha inakinga aslimia 90%. Lakini hii ina order nyingi hasa huko South America itachukua muda kuipata.
Hivyo ushauri wangu ni kwa serikali kutumia chanjo yeyote kasoro ile ya China ambayo haina data ambazo watu wamezionana kusema zipo sawa. Lakini hii wenzetu wa Kenya, Nigeria, Ghana wamepata chanjo yenyewe inawezekana kinga ni ndogo kwa hii ya south Africa lakini ukipata chanjo corona itakuwa kama mafua ya kawaida haitakuuwa kama sasa hivi. Hivyo nashauri bado ni bora sana kuliko kukaa na kutokufanya maamuzi yeyote. Tukiweza kuweka order hii ya J&J ni zuri kwasababu ni sindano mmoja na inahitaji jokofu la kawaidia kuifadhi.
Tatizo serikali inaweza kusema wataalamu wanachukungaza lakini mpaka sasa hakuna habari yeyote uchunguzi umefika wapi, nani yupo kwenye hiyo team inawezekana ni maneno tu.
Mwananchi mbona una hasira Kali, chanjo hailazimishwi, hauna haja ya kua na hasira KaliEgo my foot, unanipangia? Sio kila mtu atafanya unavyopenda wewe. Subiri serikali wakujibu kwanini hawaleti ila hata wakileta kama ni hiari sichanji.
Wewe kijana, haujui chanjo inasaidia nini? Mnaishije aise duniani hapa au mnasindikiza wengine?Hiyo chanjo imekusaidia nn mkuu?
nilipata sinopharm ya kwanza 16 january na ya pili 8 february naona ipo sawa
ndio mkuuHii ndio chanjo ya china?
Mwananchi mbona una hasira Kali, chanjo hailazimishwi, hauna haja ya kua na hasira Kali
Lakini Siku ambayo utataka kusafiri nje ya nchi ndio utaona umuhimu wake unless labda kama hauna mpango was kusafiri au utazamia kwa meli, au uamue kubaki Tanzania maisha yako yote hadi kifo,
Tanzania kuna mahali tutabanwa kwenye kona tu, time will tell! Kwa sasahiv acha tuendelee kuwatukana na kuwakejeli ambao wana chanjo its our time, but itafika muda wetu.
Umechanja kwa hiyari au mazingira yamekulazimisha?Nimefanikiwa kupata chanjo ya Corona hapa napoishi na kufanya kazi Dallas, Texas. Nimepata dose mbili za sindano kwenye bega ya kwanza tarehe 5 mwezi wa pili na ya pili tarehe 4 mwezi wa tatu. Nimepata chanjo kutoka kampuni ya Moderna. Nilivimba kidogo kwenye bega kwa mara zote lakini sijapata homa kama watu wengine wanapata homa kwenye sindano ya pili.
Chanjo ni muhimu na zinaokoa maisha hasa kwa wale wenye au ambao waliwahi kuwa na pumu, kisukari, wazee, wenye magojwa ya moyo na wamegundua pia wenye type A ya damu nao wanaumwa sana wakipata corona. Asilimia 90% ya watu wakipata hawazidiwi hivyo inawezekana hata wewe umeshapata Corona bila kujua. Lakini baada ya siku 90 unaweza kupata tena na inaweza kuwa mbaya zaidi maana mwili unakuwa hauna nguvu sana. Kwasababu kirusi cha corona kimekaa zaidi ya mwaka kinabadilika ili kiweze kuingia kirahisi kwenye miili yetu hii kitaalamu wanaita variant. Hivyo mpaka sasa kuna variant ya South Africa, England, Brazil na ili ya China. Ya South Africa ndiyo kali kuliko zote na ndiyo imeingia Tanzania kwa sasa na kusababisha watu kufa na kuumwa sana kulinganisha na ile ya mwanzo.
Kwenye kinga kuna kinga nyingi sana cha maana ni upatikanaji, usalama na chanjo kufanya kazi. Kuna vipimo vikubwa viwili vya kuzingatia cha kwanza ni kinga ya chanjo yaani ambayo inazuia mtu kupata Corona lakini cha pili je mtu akipata corona ambaye ana chanjo ataumwa kiasi cha kulazwa au kuzidiwa?. Hii ya south Africa inaonyesha kinga haifanyi kazi vizuri hasa kwa hii chanjo ambayo nchi za Africa inauziwa za Oxford Astrazenica au AZD1222. Hawajatoa data kuonyesha je mtu akiumwa inakuwaje au kinga inakuwaje. Lakini chanjo ya Johnson and Johnson imeonyesha inakinga ya corona ya south Africa kwa asilimia 57% lakini hata ukipata corona ni karibu 100% hautazidiwa. Lakini mpaka sasa HAKUNA MTU ALIYEPATA CHANJO YEYOTE POPOTE NA KUUMWA NA KUZIDIWA KIASI CHA KULAZWA. Hii ina maana gani ni kwamba inawezekana kinga ikawa ndogo lakini watu nhawatapoteza maisha ambao wana chanjo
Tanzania wanaogopa chanjo kama hii niliyopewa kwasababu inatumia technologia ya mRNA ambayo ni ya DNA na wanaogopa eti DNA zetu wazungu watabadilisha. Wakati nimeenda kupata chanjo kulikuwa na wazungu wengi wamepewa chanjo kama yangu sasa sijui hizi habari ni za wapi?!!!. Lakini kuna chanjo ambazo zina technologia kama chanjo za zamani mfano Sputnik V ambayo ni ya Urusi inatumia technologia ya zamani ya chanjo na sasa wamefanya utafiti unaonyesha inakinga aslimia 90%. Lakini hii ina order nyingi hasa huko South America itachukua muda kuipata.
Hivyo ushauri wangu ni kwa serikali kutumia chanjo yeyote kasoro ile ya China ambayo haina data ambazo watu wamezionana kusema zipo sawa. Lakini hii wenzetu wa Kenya, Nigeria, Ghana wamepata chanjo yenyewe inawezekana kinga ni ndogo kwa hii ya south Africa lakini ukipata chanjo corona itakuwa kama mafua ya kawaida haitakuuwa kama sasa hivi. Hivyo nashauri bado ni bora sana kuliko kukaa na kutokufanya maamuzi yeyote. Tukiweza kuweka order hii ya J&J ni zuri kwasababu ni sindano mmoja na inahitaji jokofu la kawaidia kuifadhi.
Tatizo serikali inaweza kusema wataalamu wanachukungaza lakini mpaka sasa hakuna habari yeyote uchunguzi umefika wapi, nani yupo kwenye hiyo team inawezekana ni maneno tu.
Swali ni je ukishapata chanjo hutavaa tena mask, je ndio Ina maana utakua hata ukikutana na mdudu wa corona unaeza ata mkaanga na mayai ukamla au maana yq chanjo ni kuwa umeweka shield.Same here. Nimechanja ya kwanza ya Pfizer, baada ya wiki tatu nitachanja ya pili. USA.
Sikuumwa kichwa wala kupata homa.
Watanzania wengi waliopo Tanzania wanajazwa ujinga na serikali inayohoji chanjo kwa sababu za kisiasa.
Serikali ingesema tu haina hela za kuwapa wananchi chanjo, watu wangeisaidia.
Ajabu ni kuona watu wanaogopa chanjo halafu wengine wanavaa mpaka chupi za mtumba hawajui zimepakwa nini!
Dawa wanazotumia hawatengenezi wao, maji yanasafishwa na kemikali za ku import, karibu kila kitu tuna import. Na uwezo wetu wa kuhakiki viwango ni mdogo sana.
Halafu mtu anashikia bango chanjo!
Miss ZombokoSame here. Nimechanja ya kwanza ya Pfizer, baada ya wiki tatu nitachanja ya pili. USA.
Sikuumwa kichwa wala kupata homa.
Watanzania wengi waliopo Tanzania wanajazwa ujinga na serikali inayohoji chanjo kwa sababu za kisiasa.
Serikali ingesema tu haina hela za kuwapa wananchi chanjo, watu wangeisaidia.
Ajabu ni kuona watu wanaogopa chanjo halafu wengine wanavaa mpaka chupi za mtumba hawajui zimepakwa nini!
Dawa wanazotumia hawatengenezi wao, maji yanasafishwa na kemikali za ku import, karibu kila kitu tuna import. Na uwezo wetu wa kuhakiki viwango ni mdogo sana.
Halafu mtu anashikia bango chanjo!
Ukitumia dawa ya malaria daktari huwa anakuambia usilale na neti tena.Swali ni je ukishapata chanjo hutavaa tena mask, je ndio Ina maana utakua hata ukikutana na mdudu wa corona unaeza ata mkaanga na mayai ukamla au maana yq chanjo ni kuwa umeweka shield.
Tanzania wanaogopa chanjo ila wanaamini kikombe cha babu wa Loliondo
Kwenye haya mambo unaweka levels tofauti za security.Swali ni je ukishapata chanjo hutavaa tena mask, je ndio Ina maana utakua hata ukikutana na mdudu wa corona unaeza ata mkaanga na mayai ukamla au maana yq chanjo ni kuwa umeweka shield.
Mbona umechanjwa lakn bado unaishi kwa wasiwasi kuliko ambao hawajachanjwaWewe kijana, haujui chanjo inasaidia nini? Mnaishije aise duniani hapa au mnasindikiza wengine?
Unajuaje kama ipo sawa wakati bado unajitwika barakoanilipata sinopharm ya kwanza 16 january na ya pili 8 february naona ipo sawa
Tofautisha chanjo na dawa au tiba...kama huwezi SEMA tukusaidieUkitumia dawa ya malaria daktari huwa anakuambia usilale na neti tena.
Akili ndogo sana umetumia