#COVID19 Nimepata Chanjo ya Corona nchini Marekani, puuzeni uzushi

#COVID19 Nimepata Chanjo ya Corona nchini Marekani, puuzeni uzushi

Unatesa mno...nililia...nilikua na maumiv makali sana ya mwili.kwa siku 4 mfululizo ..maumv kama umeanguka toka juu ...misuli inauma mno...na vichomi mafua makali na kukoa kikohiz kikavu.. nilifka hosp nikahis labda ndo nimeanza kusumbuliwa sukari.. nilijua sukari iko 0..hata kukaa kwa kiti huwez nilimwambia dk chek na ngoma nianze mara 1 dose ..majibu yanakuja toka jionii...dk ananiambia una corona...yaan ulimi ni kama unajikata na ubongo husikii kitu ..nilikua nabugia chumv nifeel wapi had leo nasugulia ulimi pilipili kama inasense hakuna kitu...huez simama even 4min .miguu inauma na kutetemeka mno..misuli ya shingon inauma mno ..ah hapa a corona naiheshm
Pole Kaka. Acha wanaobwabwaja waendelee kubwabwaja

Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app
 
Same here. Nimechanja ya kwanza ya Pfizer, baada ya wiki tatu nitachanja ya pili. USA.

Sikuumwa kichwa wala kupata homa.

Watanzania wengi waliopo Tanzania wanajazwa ujinga na serikali inayohoji chanjo kwa sababu za kisiasa.

Serikali ingesema tu haina hela za kuwapa wananchi chanjo, watu wangeisaidia.

Ajabu ni kuona watu wanaogopa chanjo halafu wengine wanavaa mpaka chupi za mtumba hawajui zimepakwa nini!

Dawa wanazotumia hawatengenezi wao, maji yanasafishwa na kemikali za ku import, karibu kila kitu tuna import. Na uwezo wetu wa kuhakiki viwango ni mdogo sana.

Halafu mtu anashikia bango chanjo!
Aiseeee !!!
 
Mimi na ukoo wangu mpana wa huko Mwanza, Mbeya, na marafiki zangu wote waishio mikoa mbalimbali hapa nchini wote tupo salama kabisa wala hatuna wasi, kuumwa mafua hatujaanza leo ni ugonjwa ambao unatushika wakati wa vumbi na pale hali ya hewa inapobadilika (baridi). Hatuhitaji chanjo na maisha yanaendelea kama kawaida, wala hatuhitaji ushauri wa kutumia hayo madude yenu
Nilisema hivyo hivyo....maumiv ya corona ni habari tofauti...umewah jiskia kujisaidia ukashindwa jisaidia wewe...hata kuoga unashindwa...unalia tu kwa maumivu.mie nimepima had uric acid hakuna...hebu toa domo lako hapa...mpk leo misuli ya miguu na shingo vinapasua...
 
Nilisema hivyo hivyo....maumiv ya corona ni habari tofauti...umewah jiskia kujisaidia ukashindwa jisaidia wewe...hata kuoga unashindwa...unalia tu kwa maumivu.mie nimepima had uric acid hakuna...hebu toa domo lako hapa...mpk leo misuli ya miguu na shingo vinapasua...
Hiyo siyo corona bali unakifaduro mkuu.
 
Zipi hizo? Kwamba ukichanjwa uendelee kuvaa mask na kukeep distance?

Bottom line is there is a lot of unknown info about these vaccines. Hawasemi hizo dose mbili zitaishiwa nguvu lini au ukishachomwa basi hutohitaji kuchomwa tena
Hawawezi kujua kwa sababu chanjo ndiyo zinaanza kutumika. Ila uwezekano mkubwa ni kuwa haziwezi kudumu kwa muda mrefu. Nimesema hivi kwa sababu chanjo kama za flu huwa mtu anahitaji kuchanjwa kila mwaka. Ila kumbuka wanachotaka ku-achieve ni herd immunity kwa maana kuwa wakichanjwa watu angalau zaidi ya asilimia 70 kwa kipindi kifupi ugonjwa unaweza kutoweka au kupungua sana.
 
Mtoa mada,
unalizungumziaje ili la kuzigawa dawa kimakundi.

Kwamba izi hazitakiwi kabisa ulaya, hizi zinawafaa kabisa wale wa Ulimwengu was tatu.[emoji116]
JamiiForums301560517.jpg
 
Hongera sana Mkuu I am just so happy for you. Sasa hata ukiipata corona haitakusumbua sana na kusababisha kulazwa na kuwekewa ventilator na kutishia uhai wako. Itakuwa kaugonjwa kadogo tu pia kwa kupata chanjo unaweza kuingia nchi yoyote ile duniani kwa kuonyesha tu uthibitisho kwamba umepata chanjo.
Nimefanikiwa kupata chanjo ya Corona hapa napoishi na kufanya kazi Dallas, Texas. Nimepata dose mbili za sindano kwenye bega ya kwanza tarehe 5 mwezi wa pili na ya pili tarehe 4 mwezi wa tatu. Nimepata chanjo kutoka kampuni ya Moderna. Nilivimba kidogo kwenye bega kwa mara zote lakini sijapata homa kama watu wengine wanapata homa kwenye sindano ya pili.

Chanjo ni muhimu na zinaokoa maisha hasa kwa wale wenye au ambao waliwahi kuwa na pumu, kisukari, wazee, wenye magojwa ya moyo na wamegundua pia wenye type A ya damu nao wanaumwa sana wakipata corona. Asilimia 90% ya watu wakipata hawazidiwi hivyo inawezekana hata wewe umeshapata Corona bila kujua. Lakini baada ya siku 90 unaweza kupata tena na inaweza kuwa mbaya zaidi maana mwili unakuwa hauna nguvu sana. Kwasababu kirusi cha corona kimekaa zaidi ya mwaka kinabadilika ili kiweze kuingia kirahisi kwenye miili yetu hii kitaalamu wanaita variant. Hivyo mpaka sasa kuna variant ya South Africa, England, Brazil na ili ya China. Ya South Africa ndiyo kali kuliko zote na ndiyo imeingia Tanzania kwa sasa na kusababisha watu kufa na kuumwa sana kulinganisha na ile ya mwanzo.

Kwenye kinga kuna kinga nyingi sana cha maana ni upatikanaji, usalama na chanjo kufanya kazi. Kuna vipimo vikubwa viwili vya kuzingatia cha kwanza ni kinga ya chanjo yaani ambayo inazuia mtu kupata Corona lakini cha pili je mtu akipata corona ambaye ana chanjo ataumwa kiasi cha kulazwa au kuzidiwa?. Hii ya south Africa inaonyesha kinga haifanyi kazi vizuri hasa kwa hii chanjo ambayo nchi za Africa inauziwa za Oxford Astrazenica au AZD1222. Hawajatoa data kuonyesha je mtu akiumwa inakuwaje au kinga inakuwaje. Lakini chanjo ya Johnson and Johnson imeonyesha inakinga ya corona ya south Africa kwa asilimia 57% lakini hata ukipata corona ni karibu 100% hautazidiwa. Lakini mpaka sasa HAKUNA MTU ALIYEPATA CHANJO YEYOTE POPOTE NA KUUMWA NA KUZIDIWA KIASI CHA KULAZWA. Hii ina maana gani ni kwamba inawezekana kinga ikawa ndogo lakini watu nhawatapoteza maisha ambao wana chanjo

Tanzania wanaogopa chanjo kama hii niliyopewa kwasababu inatumia technologia ya mRNA ambayo ni ya DNA na wanaogopa eti DNA zetu wazungu watabadilisha. Wakati nimeenda kupata chanjo kulikuwa na wazungu wengi wamepewa chanjo kama yangu sasa sijui hizi habari ni za wapi?!!!. Lakini kuna chanjo ambazo zina technologia kama chanjo za zamani mfano Sputnik V ambayo ni ya Urusi inatumia technologia ya zamani ya chanjo na sasa wamefanya utafiti unaonyesha inakinga aslimia 90%. Lakini hii ina order nyingi hasa huko South America itachukua muda kuipata.

Hivyo ushauri wangu ni kwa serikali kutumia chanjo yeyote kasoro ile ya China ambayo haina data ambazo watu wamezionana kusema zipo sawa. Lakini hii wenzetu wa Kenya, Nigeria, Ghana wamepata chanjo yenyewe inawezekana kinga ni ndogo kwa hii ya south Africa lakini ukipata chanjo corona itakuwa kama mafua ya kawaida haitakuuwa kama sasa hivi. Hivyo nashauri bado ni bora sana kuliko kukaa na kutokufanya maamuzi yeyote. Tukiweza kuweka order hii ya J&J ni zuri kwasababu ni sindano mmoja na inahitaji jokofu la kawaidia kuifadhi.

Tatizo serikali inaweza kusema wataalamu wanachukungaza lakini mpaka sasa hakuna habari yeyote uchunguzi umefika wapi, nani yupo kwenye hiyo team inawezekana ni maneno tu.
 
Nilisema hivyo hivyo....maumiv ya corona ni habari tofauti...umewah jiskia kujisaidia ukashindwa jisaidia wewe...hata kuoga unashindwa...unalia tu kwa maumivu.mie nimepima had uric acid hakuna...hebu toa domo lako hapa...mpk leo misuli ya miguu na shingo vinapasua...
Pole mkuu. Nina mtu wangu wa karibu aliugua naye alikuwa anaelezea hivyo hivyo. Alikuwa anasema akiona chakula hakitaki kabisa halafu mtu akikupa chakula ukala bila kuangalia huwezi kujua ni chakula gani kwa sababu husikii ladha. Alisema hajaugua namna hiyo tangu azaliwe, haifikii hata ile malaria kali kabisa.
 
😳😳😳😳😳uliipata hii kitu?
Nilisema hivyo hivyo....maumiv ya corona ni habari tofauti...umewah jiskia kujisaidia ukashindwa jisaidia wewe...hata kuoga unashindwa...unalia tu kwa maumivu.mie nimepima had uric acid hakuna...hebu toa domo lako hapa...mpk leo misuli ya miguu na shingo vinapasua...
 
Ila mimi mpaka Sasa bado Sioni point ya kwanini TZ hatutaki kukubaliana na chanjo.

Anyways najua tutabana Ila mwisho tutaachia👐
 
Unatesa mno...nililia...nilikua na maumiv makali sana ya mwili.kwa siku 4 mfululizo ..maumv kama umeanguka toka juu ...misuli inauma mno...na vichomi mafua makali na kukoa kikohiz kikavu.. nilifka hosp nikahis labda ndo nimeanza kusumbuliwa sukari.. nilijua sukari iko 0..hata kukaa kwa kiti huwez nilimwambia dk chek na ngoma nianze mara 1 dose ..majibu yanakuja toka jionii...dk ananiambia una corona...yaan ulimi ni kama unajikata na ubongo husikii kitu ..nilikua nabugia chumv nifeel wapi had leo nasugulia ulimi pilipili kama inasense hakuna kitu...huez simama even 4min .miguu inauma na kutetemeka mno..misuli ya shingon inauma mno ..ah hapa a corona naiheshm
Pole sana kwa yaliyokukuta mkuu!
 
Nilisema hivyo hivyo....maumiv ya corona ni habari tofauti...umewah jiskia kujisaidia ukashindwa jisaidia wewe...hata kuoga unashindwa...unalia tu kwa maumivu.mie nimepima had uric acid hakuna...hebu toa domo lako hapa...mpk leo misuli ya miguu na shingo vinapasua...

Ile kitu ni balaa, maumivu yake utafikiri umegongwa na treni [emoji23]. Yani unasikia maumivu kutoka utosini mpaka unyayoni [emoji23] hakuna sehemu ya mwili ambayo haiumi. Ukitembea ukapiga hatua ni maumivu ukisema ukae ni maumivu kiufupi ni maumivu left and right
 
Duh! Pole sana ulichungulia kaburi.
Unatesa mno...nililia...nilikua na maumiv makali sana ya mwili.kwa siku 4 mfululizo ..maumv kama umeanguka toka juu ...misuli inauma mno...na vichomi mafua makali na kukoa kikohiz kikavu.. nilifka hosp nikahis labda ndo nimeanza kusumbuliwa sukari.. nilijua sukari iko 0..hata kukaa kwa kiti huwez nilimwambia dk chek na ngoma nianze mara 1 dose ..majibu yanakuja toka jionii...dk ananiambia una corona...yaan ulimi ni kama unajikata na ubongo husikii kitu ..nilikua nabugia chumv nifeel wapi had leo nasugulia ulimi pilipili kama inasense hakuna kitu...huez simama even 4min .miguu inauma na kutetemeka mno..misuli ya shingon inauma mno ..ah hapa a corona naiheshm
 
Back
Top Bottom