Kv-london
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 2,877
- 5,022
Ni ngumu sana kumuacomodate mtu kula pamja na ada hasa hapo kwenye msos,stationary na kwa wakat wa field.
jipange nenda kwa ndugu zako wakchangie wakshndwa wakupe na ushaur nn cha kufanya then mwakan jitahdi kuomb tena pamja na vyuo vya diplma il kuwka mitego pand mbil coz huwz jua kama utapewa au utanyimwa mkopo.
jipange nenda kwa ndugu zako wakchangie wakshndwa wakupe na ushaur nn cha kufanya then mwakan jitahdi kuomb tena pamja na vyuo vya diplma il kuwka mitego pand mbil coz huwz jua kama utapewa au utanyimwa mkopo.