nitatafutwa ndg
Ukifanya usajili mkopo wang naweza kuutumia mwakani?Wewe ni mwalimu japo hujasema kitengo chako cha kazi, maana walimu kunyimwa ruhusa na kufanya maamuzi magumu ni waoga, Sasa mi nakushauri acha hiyo chaki nenda kaanze masomo chuoni mapema na haraka sana, maana hiyo 90% hutoipata tena ukiahirisha masomo bila kujisajili kwenye chuo husika. Kazi zipo utafanya ukigraduate tafadhali usiwe mtumwa, jikomboe kwa fikra pevu. Nchi hii inaharibika vibaya kwenye mfumo wa elimu ya juu na upatikanaji wa mikopo kujisomesha.
Kazi unaipenda na shule unaitaka.....resign nenda kasome
Ni PM uniuzie jina lako mdogo wangu akosome chuo kikuu kwa 90% uliyopata ili wewe ubaki kazini alafu akigraduate tukusomeshe!
Ukifanya usajili mkopo wang naweza kuutumia mwakani?