Nimepata chuo na mkopo lakini nimenyimwa ruhusa kazini nifanyaje ?

Nimepata chuo na mkopo lakini nimenyimwa ruhusa kazini nifanyaje ?

Baki upige kazi wewe, hakuna anaetakiwa kuvunja utaratibu. Tunalaumu sana utendaji wa viongoz wetu wkt sisi wenyewe tunataka janjajanja..mbavu kbs
 
Wewe ni mwalimu japo hujasema kitengo chako cha kazi, maana walimu kunyimwa ruhusa na kufanya maamuzi magumu ni waoga, Sasa mi nakushauri acha hiyo chaki nenda kaanze masomo chuoni mapema na haraka sana, maana hiyo 90% hutoipata tena ukiahirisha masomo bila kujisajili kwenye chuo husika. Kazi zipo utafanya ukigraduate tafadhali usiwe mtumwa, jikomboe kwa fikra pevu. Nchi hii inaharibika vibaya kwenye mfumo wa elimu ya juu na upatikanaji wa mikopo kujisomesha.
Ukifanya usajili mkopo wang naweza kuutumia mwakani?
 
Kimsingi inategemea na makubaliano ya mkataba wa ajira.. Kama mlikubaliana ufanye kazi miaka miwili ndo unaweza kusoma.. Bas mwajiri yuko sahh kukunyima.likizo

kama ulijiamini sana bas tangu mwanzo ungeomba likizo isiyo ya malipo


sasa shida ya wabongo ujuaji mwingi.... Kila kitu kinaenda kisheria na taratibu bhana

hyo jibebe

aidha mbembeleze mwajiri wako au acha kazi ukasome... Au ghairi kusoma
 
Back
Top Bottom