Nimepata damu ya hedhi siku moja na kukata

lilly petet

Senior Member
Joined
Feb 20, 2013
Posts
144
Reaction score
22
Habari wana jukwaa,

Nimepata damu ya hedhi siku moja tu na kukata.

Je, kuna tatizo lolote kiafya? Situmii njia yoyote ya uzazi wa mpango.
 
zimepita siku ngapi tangu ikate? subiri hata wiki nzima ipite, lakini hata hivyo hilo sio tatizo labda kama likiambatana na mambo mengine kama maumivu ya tumbo nk.
so usiogope.
 
Zimepita siku tatu mkuu, sina maumivu yoyote yale.
 
Kama hutumii njia yoyote ya kupanga uzazi ujue chochote chaweza kutokea.nenda kwa daktari.yaeezekana umeanza mchakato wa kuwa mama.
 
Duh pole sana na hongera kwa kuziona.... wenzio huwa wanazitafuta wasizione kabisa na hivyo kuchukua hatua ya kuwajulisha wapenzi wao ambao mara nyingi huwatia moyo na kuwaomba waendelee kuzitafuta!


Sometimes ni mabadiliko ya hali ya hewa na baadhi ya vyakula pamoja na stress hubadilisha mzunguko. Pole sana.
 
Daaah nisivyoyapenda haya madude hata yasipokuja mwaka mzima najionea poa tu potelea mbali :A S-eek:
 
Inatokea wakati mwingine lakini bila shaka kuna hali umepitia, mfano: kubadili hali ya hewa, stress, ugonjwa nk.
 

Asante sana.
 
Acheni upuuzi mwanamke ambae hazioni siku zake hayo ni matatizo makubwa lakini pia inategemea na mzunguko wako ni wa siku ngapi 28 21au 15 ambao ndio mzunguko mdogo sana jifunzeni kuesabu siku zenu lakini pia msisahau kwenda hospital sio hali ya kawaida mwanamke kutoona siku zake iwe kila mwezi au kuziona kwa siku moja waone madaktari hilo ni tatizo linaloweza kupelekea ugumba kwa mwanamke
 

Asante sana mkuu.
 
Pedi pia zinachangia unapotumia pedi zisizo na anion lazima utakumbana na izo shidah mm pia nilikuwa na hedhi isiyona mpangilio mzuri but now nko vizur baada ya kutumia tiba za asili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…