blakafro
Senior Member
- May 1, 2014
- 152
- 104
UPDATE 21 NOV, 2019 12:57PM
Wakuu bado sijafanikisha, watu ambao wanasema wanatoa mikopo humu hawapo serious kabisa, naomba kama kuna mtu yupo serious anatoa mkopo kwa dhamana ya kadi ya gari anicheki PM au anitext 0693201371
___________________________________
Wakuu kwema?
Husikeni na kichwa cha habari hapo juu. Namepata dharura kidogo nashida na kiasi cha Tsh 700,000 haraka iwezekanavyo kama kuna mtu binafsi humu anatoa mikopo kwa riba na masharti nafuu basi tuchekiane au kama kuna kampuni mnayoifahamu wanatoa mikopo ya dharura haraka naombeni mniunganishe wakuu.
Nipo tayari kurejesha ndani ya miezi miwili napatikana Dar es salaam.
Nawasilisha.
Wakuu bado sijafanikisha, watu ambao wanasema wanatoa mikopo humu hawapo serious kabisa, naomba kama kuna mtu yupo serious anatoa mkopo kwa dhamana ya kadi ya gari anicheki PM au anitext 0693201371
___________________________________
Wakuu kwema?
Husikeni na kichwa cha habari hapo juu. Namepata dharura kidogo nashida na kiasi cha Tsh 700,000 haraka iwezekanavyo kama kuna mtu binafsi humu anatoa mikopo kwa riba na masharti nafuu basi tuchekiane au kama kuna kampuni mnayoifahamu wanatoa mikopo ya dharura haraka naombeni mniunganishe wakuu.
Nipo tayari kurejesha ndani ya miezi miwili napatikana Dar es salaam.
Nawasilisha.